Zelensky ashtumu mashambulizi ya miundo mbinu ya nishati
2 Aprili 2025Matangazo
Rais Zelensky amesema maneno hayatoshi linapokuja suala la Urusi, pamoja na kwamba wanawaheshimu washirika wao wa kimkakati.
Zelensky asema vikwazo dhidi ya Urusi ni muhimu
Rais huyo ameongeza kuwa vikwazo ni muhimu sana kwao kwasababu waliyozungumza na Marekani wamefanya, lakini Urusihaijatimiza ahadi yake.
Zelenskiy aelekea Paris kwa mazungumzo na Macron
Rais Zelensky ameongeza kuwa Urusi imefanya mashambulizi mengine ya makusudi na uharibifu wa miundo mbinu pamoja na kulenga kwa droni kituo kidogo cha nishati katika eneo la Sumy.
Kiongozi huo wa Ukraine pia amesema njia ya umeme ilishambuliwa katika mji wa Nikopol huko Dnipro, na kukatiza nguvu za umeme kwa maelfu ya wakazi.