Watoto wanaozaliwa kabla ya muda yaani watoto Njiti wanaelezwa kukabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ya kukosa kunyonya maziwa ya mama kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya kuwapoteza mama zao wakati wa uzazi. Tanzania inaelezwa kushika nafasi ya 12 kwa nchi zenye idadi kubwa ya watoto Njiti duniani. Sikiliza makala hii ya Afya Yako na Anuary Mkama. #DW Kiswahili