AfyaUganda
WHO: Maambukizi ya Ebola yaongezeka nchini Uganda
6 Machi 2025Matangazo
Uganda ilitangaza mnamo mwezi Januari, mripuko wa virusi vya Ebola aina ya kutoka Sudan, ambavyo vinaambukiza kwa kasi na kusababisha homa kali inayosababisha kifo.
Muhanga wa hivi karibuni kabisa wa mripuko huo aliyetangazwa na WHO Jumamosi, alikuwa ni mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka minne aliyefariki wiki iliyopita katika hospitali ya rufaa ya kitaifa ya Mulago.