Waziri mkuu wa zamani wa Chad ashikiliwa na polisi
21 Mei 2025Matangazo
Haya ni kwa mujibu wa mawakili wake.
Masra aliyepambana na Rais Mahamat Idriss Deby Itno katika uchaguzi mkuu wa mwaka uliopita, alikamatwa mnamo Mei 16 na anakabiliwa na mashtaka kadhaa ikiwemo uchochezi, uasi na kuanzisha na kushirikiana na makundi yaliyojihami.
Katika uchaguzi huo uliopita, Masra alidai kushinda licha ya kupata asilimia 18.5 ya kura huku Deby akipata asilimia 61.3.