SiasaAsia
Waziri mkuu Pakistan atembelea mkoa wa Baluchistan
13 Machi 2025Matangazo
Vikosi vya usalama viliwauwa washambuliaji 33 ili kuumaliza mkwamo huo wa siku nzima.
Ziara hii ya waziri mkuu Sharif imefanyika katika wakati ambapo wanamgambo, hao wanaoojiita jeshi la ukombozi la Baluchsitan, wamesema bado mkwamo haujamalizika.
Soma pia:Baadhi ya abiria waliochukuliwa mateka wauwawa Pakistan
Kundi hilo limesema linaendelea na mapambano yake na kwamba bado linawashikilia mateka kadhaa.