JangaAmerika ya Kaskazini
Watu 40 wamekufa Marekani kutokana na dhoruba kali
17 Machi 2025Matangazo
Idara ya Utabiri wa Hali ya Hewa ya Marekani ilitahadharisha kuhusu kutokea upepo mkali unaoweza kugeuka kuwa kimbunga katika Pwani ya Mashariki ya nchi hiyo.
Soma pia:Kimbunga Hagupit chaleta madhara Ufilipino
Rais Donald Trump alitoa salamu za rambirambi kwa familia zilizowapoteza wapendwa wao huku akisema kuwa ofisi yake inafuatilia kwa karibu hali hiyo na itatoa ushirikiano kwa viongozi wa majimbo ili kuzisaidia jamii zilizoathiriwa.