You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Wasichana wa Chibok
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Niger yawatimua mabalozi wa nchi 4 ikiwemo Ujerumani
Ubalozi wa Ufaransa nchini Niger umelikataa tangazo hilo ukisema kuwa Paris, hautambui mamlaka ya watawala wa kijeshi.
Niger, Burkina Faso na Mali zaunda jeshi la pamoja
Rais Macron asema ECOWAS inatelekeza majukumu yake kwa mwendo wa kinyonga.
Libya yawarudisha makwao Wanigeria 161
Mpango huo unafanyika katika wakati baadhi ya nchi ya Afrika Kaskazini zinashuhudia ongezeko la wahamiaji
Makala ya matukio ya juma zima 19.08.2023
Jiunge na Saumu Mwasimba ili kuyasikia matukio muhimu ambayo yamegonga vichwa vya habari mbalimbali.
19.08.2023 Matangazo ya Asubuhi
Marekani, Korea Kusini na Japan zimekubaliana kuimarisha uhusiano wa kijeshi na kiuchumi ili kukabiliana na China na vitisho vya nyuklia vya Korea Kaskazini.
Umoja wa Ulaya kuichukulia hatua kali Niger
Michel alionya kuwepo na hatua kali ikiwa utawala wa kijeshi wa Niger utasababisha afya ya Rais Bazoum kuzorota zaidi.
Wanajeshi 36 wauawa Nigeria
Wanajeshi 36 wa Nigeria wameuawa katika jimbo la kaskazini ya kati la Niger.
Wakuu wa majeshi ECOWAS wakutana kuijadili Niger
Wakuu wa majeshi wa mataifa ya ECOWAS, wanakutana mjini Accra kujadili uwezekano wa kuingilia kijeshi nchini Niger.
Harakati ya 'Linda Niger' kuzinduliwa Jumamosi mjini Niamey
Wizara ya ulinzi ya Niger imesema kwenye taarifa yake kwamba wanajeshi 17 waliuawa katika shambulizi la kuvizia.
Utawala wa kijeshi wa Niger wasema upo tayari kwa mazungumzo
Wakuu wa majeshi wa Jumuiya ya Maendeleo huko Afrika Magharibi, ECOWAS wanajiandaa kukutana Alhamisi na Ijumaa.
Wakuu wa majeshi wa ECOWAS kuijadili Niger
Rais wa Urusi Vladimir Poutine na kiongozi wa kijeshi wa Mali wametoa wito wa suluhisho la amani kwa mzozo huo wa Niger.
ECOWAS na juhudi za kidiplomasia kwenye mzozo wa Niger
Jumuiya ya kikanda ya ECOWAS inafanya juhudi za kutafuta njia za kidiplomasia kubatilisha mapinduzi ya kijeshi ya Niger.
Rais aliyepinduliwa Niger atembelewa na daktari
Rais aliyepinduliwa nchini Niger Mohammed Bazoum leo ameonana na daktari
Mwanafunzi anayeosha magari ili kulipa karo ya chuo kikuu
Bila kujali hali yake katika kutimiza ndoto yake, kijana huyo amekuwa akiosha magari ilikukidhi mahitaji ya shule.
ECOWAS kuunda kikosi cha dharura kwa ajili ya Niger
Wakuu wa jeshi la ECOWAS watakutana Jumamosi katika mji mkuu wa Ghana, Accra, kujadili mapinduzi ya kijeshi Niger.
Hali ya Bazoum yaitia wasiwasi Jumuiya ya Kimataifa
Wakuu wa majeshi wa Jumuiya ya ECOWAS wajiandaa kukutana wiki ijayo kuzungumzia mipango yao
ECOWAS yaidhinisha uvamizi wa kijeshi dhidi ya Niger
Viongozi wa ECOWAS wameidhinisha kutumwa "kikosi cha dharura kurejesha utaratibu wa kikatiba nchini Niger" haraka.
Je, hatua za kijeshi ni mwafaka kwa mzozo wa Niger?
Je, hatua za kijeshi ni mwafaka kwa mzozo wa Niger?
Mzozo wa Niger wazingatiwa na wahariri wa Ujerumani
Mazeti ya Ujerumani wiki hii yamejishughulisha na mzozo unaoendelea kutokota nchini Niger na vita vya Sudan. Wahariri pia wamezungumzia vita vipya vilivyozuka eneo la Tigray nchini Ethiopia na sakata la malipo ya marupurupu ya wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake ya Nigeria. Josephat Charo amekuandalia Afrika katika magazeti ya Ujerumani.
Wanajeshi Niger watangaza baraza la mawaziri
Utawala wa kijeshi Niger wakataa kuurudisha madarakani utawala wa kidemokrasia
Utawala wa kijeshi Niger wakutana na wajumbe kutoka Nigeria
Mazungumzo hayo yamefanyika huku Niger ikiishutumu Ufaransa kwa kukiuka anga yake na kushambulia kambi ya kijeshi.
Taarifa ya Habari za Asubuhi: 10.08.2023
Mgombea urais nchini Ecuador auawa kwa kupigwa risasi. Viongozi wa Niger wakutana na wajumbe kutoka Nigeria. Rais wa Uganda akemea shinikizo la Benki ya Dunia kufuatia usitishwaji mikopo.
Jeshi lamzuia Mwanadiplomasia wa Marekani kumuona Bazoum
Victoria Nuland amesema viongozi wa kijeshi wa Niger walikataa ombi lake la kutaka kukutana na Rais Mohamed Bazoum.
Niger yaukataa ujumbe wa upatanishi wa Umoja wa Mataifa
Juhudi za kutatuwa hali ya kisiasa ya Niger zinaonekana kukwama, baada ya watawala kukataa ujumbe za Umoja wa Mataifa.
ECOWAS kukutana Alhamis kuhusu Niger
Viongozi wa jumuiya hiyo ya kiuchumi watakutana mjini Abuja kuangalia hatua za kuuchukulia utawala wa kijeshi wa Niger.
Safari za ndege zatatizika kuelekea Afrika Magharibi
Niger ilitangaza kufunga anga yake jana Jumapili kutokana na kile ilichokitaja kuwa kitisho cha uvamizi.
Nigeria yatolewa nje ya kombe la dunia la wanawake
Timu ya wanawake ya mpira wa kikapu ya Nigeria yatawazwa mabingwa wa FIBA Women's AFROBASKET mjini Kigali.
Nigeria yaaga Kombe la Dunia la Wanawake
Timu ya Soka ya Wanawake ya Nigeria imeliaga Kombe la Dunia baada ya kupoteza hatua ya mtoano dhidi ya England.
Nigeria nje, Uingereza yapeta Kombe la Dunia la Wanawake
Uingereza yasonga mbele hatua ya robo fainali Kombe la Dunia la Wanawake 2023.
Taarifa ya Habari Ya Asubuhi: 07.08.2023
Watu 30 wafariki katika ajali ya treni kusini mwa Pakistan. Niger yafunga anga yake kufuatia kitisho cha uingiliaji kijeshi cha ECOWAS. Mazungumzo ya amani kuhusu vita vya Ukraine yafanyika Saudi Arabia.
ECOWAS wakubaliana uwezekano wa kuingilia kati kijeshi Niger
Wakuu wa majeshi kutoka nchi za Jumuiya ya ECOWAS wamekubaliana juu ya uwezekano wa kuingilia kati kijeshi nchini Niger.
ECOWAS yakubaliana uwezekano wa kuingilia kati Niger
ECOWAS iliwapatia muda wa wiki moja viongozi wa mapinduzi kumrejesha madarakani Rais aliyechaguliwa Mohamed Bazoum.
Afrika yaweka historia Soka la wanawake duniani
Timu tatu kati ya nne za Afrika zimetinga hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia la 2023. Nyingi kuliko ilivyowahi kutokea. Simba wa Taranga ya Morocco, Super Falcons ya Nigeria na Banyana Banyana ya Afrika Kusini wamelifanya bara zima kujivunia.
Ujerumani yahimiza juhudi za upatanishi Niger
Ujerumani yahimiza kuendelea kwa juhudi za upatanishi Niger.
Je, raia wa kanda ya Sahel wamekosa imani na demokrasia?
Raia wa ukanda wa Sahel wanaelemea zaidi kuamini wanajeshi kuliko watawala wa kiraia.
Ujumbe wa ECOWAS watua Niger kutafuta suluhu
Ujumbe wa Jumuiya ya Kiuchumi ya nchi za Afrika Magharibi ECOWAS unaoongozwa na Nigeria, umewasili Niger kujadiliana na
Nigeria yaiangusha Ireland Kombe la Dunia la Wanawake
Timu ya soka ya wanawake ya Nigeria imeingia hatua ya mtoano wa michuano ya Kombe la Dunia la Wanawake.
Nigeria yatinga raundi ya mtoano Kombe la Dunia
Nigeria Jumatatu wamefuzu kwenye hatua ya raundi ya 16 bora kwenye Kombe la Dunia la wanawake kwa mara ya tatu katika
Nigeria yaweka marufuku ya kutembea kuzuwia uporaji chakula
Jimbo la Adamawa kaskazini mashariki mwa Nigeria limeweka marufuku ya masaa 24 ya kutembea kuzuwia uporaji wa chakula.
Macron kuongoza mkutano wa ulinzi kuhusu mapinduzi ya Niger
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, leo ataongoza mkutano wa ulinzi kuhusu mapinduzi yaliyotokea Niger.
Jenerali Abdourahamane Tiane ajitangaza kiongozi mpya Niger
Mkuu kikosi cha ulinzi wa rais nchini Niger Jenerali Abdourahamane Tiani, amejitangaza kuwa Rais wa baraza la mpito la n
Uchanganuzi: Urusi inavyozilaghai nchi za Afrika
Urusi inatumia nguvu nyingi kueneza ushawishi wake Afrika. Nini umuhimu wa bara hilo?
Nigeria yawacharaza wenyeji Australia 3-2 Kombe la Dunia
Nigeria mguu mmoja ndani kutinga hatua ya 16 bora katika michuano ya Kombe la Dunia, wakiifunga Ireland tu wanafuzu.
Jinsi Wanigeria huko Shimankar wanavyonufaika na nishati ya jua!
Jamii ya Shimankar katika Jimbo la Plateau nchini Nigeria ilianza matumizi ya gridi ndogo ya nishati ya jua miaka mitatu iliyopita. DW inaangalia jinsi nishati hiyo ilivyobadilisha maisha ya karibu wenyeji 2,000. #Kurunzi
Uchambuzi wa michuano ya kombe la kandanda la wanawake
Michuano ya kombe la dunia la kandanda la wanawake inaendelea huko New Zealand na Australia ambapo leo Nigeria imefanikiwa kutoka sare tasa na Canada katika pambano kali lililoishuhudia mchezaji wa Nigeria akionyeshwa kadi nyekundu.
Ongezeko la watu Nigeria: Njia ya umaskini au ustawi?
Ongezeko la watu Nigeria: Njia ya umaskini au ustawi?
Rais wa Nigeria akabidhiwa mikoba ya ECOWAS
Tinubu amesema demokrasia inasalia kuwa mfumo bora wa kuunda serikali licha ya kukrii kuwa ni mfumo mgumu kuusimamia.
Vihunzi vinavyomkabili Tinubu katika mageuzi yake Nigeria
Itachukuwa muda mrefu kuanza kudhihirika matunda ya mageuzi hayo, na kuendelea kuyasimamia haitakuwa rahisi.
Je, Rais Bola Tinubu ndio suluhu ya matatizo ya Nigeria?
Wachambuzi wanatilia shaka ikiwa kiongozi huyo ni mtu sahihi wa kukabiliana na changamoto chungu nzima zinazomngojea.
Mapigano ya kikabila yaua watu 20 Nigeria
Watu wapatao 20 wameuliwa katika machafuko kati ya wafugaji na wakulima katika jimbo la Plateau katikati ya Nigeria.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 6 wa 21
Ukurasa unaofuatia