You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Wasichana wa Chibok
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Nigeria kuanza kutowa chanjo ya Mpox kuanzia Oktoba 8
Nigeria yatangaza kuanza kutowa chanjo ya Mpox kuanzia Oktoba 8
Karibu wanafunzi 20 wa vyuo vikuu nchini Nigeria watekwa
Nigeria limekuwa taifa linalokumbwa na matukio ya mara kwa mara ya utekaji wa wanafunzi unaofanywa na wanamgambo.
WHO yaitisha mkutano kuujadili ugonjwa wa homa ya nyani
Nchini Nigeria visa 39 vya ugonjwa huo wa homa yanyani vimerekodiwa na tangu mwanzoni mwa mwaka huu.
Maafisa wa michezo nchini Nigeria walaumiwa kwa uzembe
Nigeria inahitaji kutafuta mbinu mpya ya kuhakikisha wanaoendesha michezo ni watu walio na uwezo mkubwa kiufundi.
Nigeria yawakamata waandamanaji waliobeba bendera za Urusi
Polisi ya Nigeria imesema imewakamata zaidi ya waandamanaji 90 waliobeba bendera za Urusi wakati wa maandamano.
Rais wa Nigeria atoa wito wa kusitishwa kwa maandamano
Maandamano nchini Nigeria yameendelea kwa siku ya nne katika maeneo machache ikiwa ni pamoja na mjini Lagos.
Tinubu aahidi kushughulikia madai ya raia
Tinubu ametoa wito wa kusitisha maandamano makubwa ya kupinga ongezeko la gharama za maisha nchini humo.
Rais Tinubu aahidi kushughulikia kero za raia wa Nigeria
Tinubu amejaribu kuwapoza waandamanaji akisema kuwa anaelewa uchungu na sababu zinazochangia maandamano ya karibuni.
Rais wa Nigeria atoa wito wa kusitishwa maandamano
Rais wa Nigeria atoa wito wa kusitishwa maandamano yaliosababisha vifo
Watu 13 wauawa katika siku ya kwanza ya maandamano Nigeria
Maandamano ya kupinga ongezeko la gharama ya maisha nchini Nigeria yanaingia siku yake ya pili hii leo Ijumaa.
Amnesty yasema watu 13 wamefariki maandamano Nigeria
Amnesty yasema watu 13 wamefariki maandamano Nigeria
Polisi Nigeria wafyatua gesi ya machozi kutawanya maandamano
Waandamanaji vijana wanapinga mageuzi ya serikali wanayodai kwamba yamezidisha hali ya maisha kuwa mbaya zaidi Nigeria.
Polisi Nigeria yafyatua mabomu ya machozi kuvunja maandamano
Katika mji wa pili kwa ukubwa Kano, waandamanaji walijaribu kuwasha moto nje ya ofisi ya gavana na kukabiliwa na polisi.
Nigeria yajiandaa kwa maandamano kupinga gharama ya maisha
Maandamano hayo yenye hashtag #EndbadGovernanceinNigeria yamepata uungwaji mkono mkubwa kupitia kampeni ya mitandaoni.
Nigeria yakabiliwa na kitisho cha maandamano wiki hii
Maandamano ya nchini Nigeria yamepangwa kuanza Alhamisi wiki hii.
Jeshi la Nigeria laonya dhidi ya ghasia za mtindo wa Kenya
Mara ya mwisho jeshi la Nigeria lilipotumika kuzima maandamano ni Oktoba 2020 na ilisababisha umuagaji mkubwa wa damu.
Jeshi la Nigeria lawaonya vijana juu ya maandamano ya vurugu
Jeshi la Nigeria limesema limejiandaa kukabiliana na uvunjaji wa sheria.
Jeshi la Nigeria laonya juu ya maandamano ya vurugu
Maafisa wa serikali, vikosi vya usalama na magavana nchini Nigeria wamewarai vijana kujiepusha na maandamano.
Watu 22 wafariki baada ya jengo la shule kuanguka Nigeria
Idadi ya vifo inatajwa kuwa huenda ikaongezeka, kwa kuwa karibu wanafunzi 200 wanaaminiwa walikuwa kwenye jengo hilo
Wanafunzi wafariki baada ya shule kuporomoka Nigeria
Shule moja imeporomoka katika eneo la kati mwa Nigeria leo na kusababisha vifo vya wanafunzi kadhaa.
Wakuu wa ECOWAS kukutana wikendi hii kutathmini mahusiano
Mkutano wa kilele wa hapo kesho utafanyika mjini Abuja nchini Nigeria utajadii mahusiano na muungano wa nchi za Sahel.
Wanajeshi 6 wa Nigeria waliokuwa katika doria Benin wauwawa
Jeshi la Niger limesema wanajeshi sita waliokuwa wanalinda bomba la mafuta kwa nchi jirani ya Benin wameuwawa.
Mahakama ya Niger yaondoka kinga ya kushtakiwa kwa Bazoum
Mahakama ya juu ya Niger imeondoa kinga ya rais aliyepinduliwa Mohamed Bazoum,
Nigeria kuendelea na mageuzi ya kiuchumi
Rais wa Nigeria Bola Ahmed Tinubu amesema serikali yake itaendelea kufanya mageuzi ya kiuchumi nchini humo.
Amnesty yalishutumu jeshi la Nigeria kwa ukiukwaji wa haki
Jeshi la Nigeria lalaumiwa kuwazuilia kinyume cha sheria wasichana na wanawake waliotoroka mikononi mwa Boko Haram.
Uvaaji wa kofia za Kiyoruba na maana yake
Kofia za Kiyoruba zina utambulisho mpana katika utamaduni wa kabila hilo la Nigeria, kuanzia uvaaji wake na ushonwaji wake. Femi Adekambe amebobea katika ushonaji wa kofia za kitamaduni akizipa nakshi za kipekee. #77asilimia
Mamilioni ya Wanigeria walala gizani kufuata mgomo wa taifa
Wafanyikazi wamezima mitambo sita ya kusambaza umeme na kulitumbukiza taifa kwenye kiza usiku wa kuamkia leo.
Mgomo wa wafanyakazi watatiza usafiri wa ndege Nigeria
Mgomo wa mashirika ya wafanyakazi waifunga gridi ya umeme Nigeria na kutatiza usafiri wa ndege
Ghana: Senegal isaidie kutatua mizozo ndani ya ECOWAS
ECOWAS ina mizozo na mataifa ya Niger, Burkina Faso na Mali.
Rais wa Senegal afanya ziara ya kwanza nchini Nigeria
Kiongozi wa Nigeria Tinubu, amesema kuwa nchi yake na Senegal zilikuwa na nia moja kuhusu demokrasia.
Nigeria yaongeza mishahara ya wafanyakazi wa serikali
Serikali ya Nigeria imetangaza kuongeza mishahara ya wafanya kazi ambayo malipo yake yataanzia hapo Januari mwakani.
Watu wenye silaha wawaua wanajeshi sita wa Nigeria
Hiki ni kisa cha karibuni zaidi ambapo wanajeshi wanauliwa na magenge ya uhalifu.
Je, umewahi kusikia kuhusu ''menopause'' ya wanaume ?
Inaweza kukushangaza kwamba wanaume nao huingia katika kipindi cha menopause. Tofauti na wanawake ambao menopause inaashiria kukoma kwa hedhi, wanaume nao hupatwa na andropause yani kukoma kwa uwezo wa kuzalisha.
Watu 10 wafa, 23 wajeruhiwa kwa bomu la kutegwa Nigeria
Watu 10 wamefariki dunia na wengine 23 kujeruhiwa baada ya gari lao kukanyaga bomu kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Nigeria yasema hakuna rekodi ya vifo kutokana na dawa ya J&J
Nigeria yasema hakuna rekodi yoyote ya watoto waliokufa kutokana na kuathiriwa na aina ya dawa ya kikohozi ya J&J
Matangazo ya Asubuhi 13.04.2024
Miongoni mwa taarifa tulizokuandalia: Shule ya sekondari ya wasichana ya Chibok ambapo wanafunzi 276 wa umri kati ya miaka 16 na 18 walitekwa nyara na kundi la wanamgambo la Boko Haram miaka 10 iliyopita, sasa imechukua sura mpya.
Watu milioni 55 wakabiliwa na njaa Afrika Magharibi na Kati
Changamoto za kiuchumi ikiwemo mfumuko mkubwa wa bei na kudorora kwa uzalishaji wa ndani, vimechangia hali kuwa mbaya.
Mahakama ya Borno yaamuru watu 300 kuachiwa huru Nigeria
Mwaka 2009 Boko Haram ilianzisha uasi nchini Nigeria na kuapa kuipindua serikali na kuanzisha utawala wa kiislamu.
Taarifa mbaya zinaathiri vita dhidi ya utekaji nyara Nigeria
Wanafunzi 137 waliookolewa na jeshi kutoka kwa watekaji waliwasili Kaduna tayari kuunganishwa na familia zao.
Wanafunzi waliotekwa nyara Nigeria waokolewa
Wanafunzi hao wanapata usaidizi wa kisaikolojia kabla ya kukabidhiwa kwa familia zao.
Watoto kiasi 300 waliotekwa nyara Nigeria waachiliwa
Watoto takriban 300 walioachiliwa na watekaji wako salama
Watu karibu 100 watekwa nyara na wahalifu nchini Nigeria
Utekaji nyara unaofanywa na magenge ya wahalifu ambao hudai fidia, umekuwa tukio la karibu kila siku nchini Nigeria.
Nigeria yaagiza kufunguliwa kwa mpaka wake na Niger
Mwezi uliopita ECOWAS iliamua kuuondoa vikwazo hivyo, ila mpaka huo ukawa bado umefungwa.
Watekaji Nigeria wadai kupewa kitita kuwaachia mateka
Hayo ni kwa mujibu wa msemaji wa familia za mateka hao, na diwani wa eneo hilo aliyezungumza na shirika la Reuters.
Shirika la MSF laonya kuhusu mgogoro wa kibinadamu Nigeria
Waasi katika eneo hilo huvamia mara kwa mara jamii, vijiji na kufanya utekaji nyara kwa lengo la kulipwa fidia.
Mpango wa kukopa na kulipia deni la matibabu Nigeria
Kutana na kikundi cha kijamii kutoka katika jimbo la Kano kaskazini mwa Nigeria, ambacho kinasaidia kaya masikini kulipa madeni ya matibabu hasa kwenye maduka ya dawa, lakini hata hivyo mpango hausadii tu watu masikini pia unaziwezesha biashara za dawa kustawi.
Jeshi la Nigeria lawasaka waliowateka wanafunzi 300
Wanajeshi wa Nigeria wanaendelea na operesheni ya kuwasaka watekaji nyara waliowakamata karibu wanafunzi 300.
Watu wenye silaha wawateka wanafunzi wengine 15, Nigeria
Nigeria imekuwa ikikumbwa na matukio ya wanafunzi kutekwa na makundi ya watu waliojihami kwa silaha.
Nigeria yatuma wanajeshi kuwaokoa wanafunzi waliotekwa nyara
Tukio lingine la utekaji nyara lilitokea wiki iliyopita katika kambi za wakimbizi Kaskazini Mashariki mwa Borno.
Nigeria yafanya juhudi za kuwaokoa wanafunzi waliotekwa
Rais Tinubu pamoja na kutuma wanajeshi pia ameelezea matumaini kwamba wanafunzi hao wataokolewa na haki itapatikana.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 3 wa 21
Ukurasa unaofuatia