WASHINGTON:Bei ya mafuta yapanda hadi dola 59 kwa pipa
20 Juni 2005Matangazo
Masoko makuu duniani yamefahamisha juu ya kuongezeka kwa bei ya mafuta hadi kufikia dola hamsini na tisa kwa pipa.
Hali hii huenda imesabishwa na uzalishaji wa kiwango cha bidhaa hiyo.
Ongezeko hilo litaathiri uchumi wa mataifa mengi maskini hasa barani Afrika.