MigogoroMashariki ya Kati
Wapalestina 59 wameuawa kwa mashambulizi ya Israel
13 Julai 2025Matangazo
Kulingana na Idara inasoyosimamia ulinzi wa umma kwenye Ukanda huo, watu wengine wapatao 28 ikiwa ni pamoja na watoto wanne na wengine kumi wa familia moja wameuawa karibu na kambi ya wakimbizi ya Al Nuseirat na katika maeneo mengine.
Jeshi la Israel ambalo limezidisha mashambulizi kote Gaza katika vita vya zaidi ya miezi 21 halijatoa kauli yoyote huku kukiwa hadi sasa hakuna dalili yoyote ya mafanikio katika mazungumzo ya kusitisha vita hivyo.