You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Wanawake
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Jukumu la wanawake kuleta amani katika maeneo ya mizozo
Machafuko na mizozo inapotokea wanawake na watoto ni waathirika wa kubwa, hata hivyo katika kufanikisha mchakato wa amani kwenye maeneo ya mizozo wamekuwa mstari wa mbele.
Wanawake wahamasishaji wa chanjo ya Uviko-19 Mombasa
Wakaazi baadhi Mombasa Kenya hawakupata chanjo ya Uviko-19, kutokana na sababumbalimbali. Kundi la wanawake limejitolea kuhamasisha jamii ili kupata chanjo hiyo lakini wanakabiliwa na changamoto chungunzima.
Uganda: Ruksa wasichana kutumia uzazi wa mpango
Mpango wa serikali nchini Uganda kuruhusu wasichana kuanzia miaka 15 kutumia dawa za uzazi wa mpango wapingwa na jamii.
Mamia ya Waislamu waandamana Kenya kupinga ushoga
Makundi ya kutetea haki za binadamu yamekemea maandamano hayo na kuyataja kuwa "hatari".
Mwanaharakati wa Iran Narges ashinda tuzo ya Nobel 2023
Mwanaharakati wa Kiirani anaetumikia kifungo gerezani Narges Mohammadi ameshinda Tuzo ya Amani ya Nobel ya mwaka 2023.
Guterres ampongeza Mohammadi kwa kushinda Tuzo ya Nobeli
Mohammadi ambaye bado yuko jela amesema anatumai ushindi huo utawafanya Wairan wanaoandamana kushinikiza mabadiliko.
Narges Mohammadi ashinda Tuzo ya Amani ya Nobel
Ushindi huo ni baada ya jopo la wataalam nchini Norway kufanya mchujo kutoka kwenye orodha ya mapendekezo takriban 350.
Narges Mohammadi ashinda Tuzo ya Amani ya Nobel
Iran ni moja ya mataifa yanayotajwa kuwa na rekodi mbaya kabisa ya haki za binaadamu ulimwenguni.
Ukandamizaji wa wanawake unazidi kuongezeka Afghanistan
Wanafamilia wa kiume wachangia katika utekelezaji wa amri kali za utawala wa Taliban
India: Wanawake wanasiasa kutapata viti vingi Bungeni
India imepitisha sheria inayowahakikishia wanasiasa wanawake viti vingi zaidi, katika bunge la nchi hiyo.
Iran: Wanachama 28 wa kundi la kigaidi la "IS" wakamatwa
Maafisa wawili wa usalama walijeruhiwa wakati wa operesheni hiyo.
Shimoni:Nguvu ya filamu ndani ya mwanamke
Tamasha la Filamu za Kiafrika la Köln linafanyika kwa mara ya 20, Angela Wanjiku Wamai mtengenezaji wa filamu kutoka Kenya anaonesha filamu yake kwa mara ya kwanza katika jukwaa hilo la kimataifa, filamu yake inaonesha na kutambua mapambano ya mtu mmoja mmoja kwenye jamii katika kuleta mabadiliko.
Wanawake na uwekezaji kiuchumi
Makala ya Wanawake na Maendeleo safari hii inaangazia muamko wa wanawake wa Tanzania katika kuingia kwenye aidha vikundi ama taasisi zinazojihusisha na fedha.
Iran: Wabunge waidhinisha muswada wa sheria kali za mavazi
Wanawake watakaokaidi kuvaa hijabu au mavazi yanayofaa, watakabiliwa na kifungo cha miaka 5 hadi 10 jela.
Iran : Wabunge waidhinisha adhabu kali dhidi ya wanawake
Wabunge wa Iran wamepitisha muswada wa kutaka adhabu kali zaidi kwa wanawake wanaokiuka kanuni ya mavazi ya Kiislamu.
Afya Yako: Chanzo cha ongezeko la saratani ya kizazi
Ugonjwa wa Saratani ya kizazi ni wa nne kati ya saratani zinazokumba wanawake duniani kulingana na Shirika la Afya Duniani. Sasa kaunti ya Trans Nzoia nchini Kenya imeanza kuangaziwa na wataalamu wa afya kutokana na jinsi ugonjwa huu unaendelea kuongezeka katika sehemu hiyo. Kwenya makala ya afya yako hivi leo tunaangazia chanzo cha kuongezeka kwa maradhi ya saratani ya kizazi.
Rubiales akana mashitaka dhidi yake
Rubiales anatuhumiwa kwa kumbusu mdomoni mchezaji wa kikosi cha taifa cha wanawake cha Uhispania.
Saudi Arabia kutumia nyota wa soka kuna athari za kisiasa?
Saudi Arabia inakosolewa kwa "kutumia michezo" ikiwemo soka kuziba rekodi yake ya haki za binadamu.
UN: Lengo la usawa wa kijinsia halitaweza kufikiwa 2030
bado wanawake wanakabiliwa na vikwazo kuanzia uwanja wa kijamii, kiuchumi hadi kisiasa kutokana na upendeleo.
Watu wasiopungua 26 wafa katika ajali ya boti, Nigeria
Kwa mujibu wa maafisa hiyo ni ajali ya pili kubwa kuwahi kutokea kwenye eneo hilo ndani ya kipindi cha miezi mitatu.
Wanaharakati Uganda waikosoa EU kufuatia sheria ya LGBTQ
Sheria iliyopitishwa dhidi ya vitendo vya ushoga nchini Uganda inatoa adhabu kali ikiwemo uwezekano wa hukumu ya kifo
Joyce Kiria mtetezi wa haki za wanawake Tanzania
Ungana na Selina Mdemu aliyemwalika ''The Super Woman'' Joyce Kiria moja kati ya wanaharakati wa kutetea na kupigania haki za wanawake wanaopitia ukatili wa kijinsia nchini Tanzania katika Makala ya wanawake na Maendeleo.
Jorge Vilda afutwa kazi kama kocha wa Uhispania
Shirikisho hilo pia “limeomba radhi” kwa kile ilichokiita tabia isiyokubalika ya Rubiales.
Wanawake wanapoamua kujifunga kizazi
Jasmin mwenye umri wa miaka 25 alifungwa kizazi kwa sababu hataki kupata watoto. Lakini kupata daktari ambaye angefanya upasuaji haikuwa rahisi.Je mbinu gani alitumia? Tazama video
Polisi Nigeria yawakamata wanaume 200 mashoga
Wengi wa wanaume waliohudhuria harusi hiyo wanadaiwa kuvaa "nguo za wanawake."
Mikopo na madhila yake
Ulishawahi kukumbwa na maswahibu ya mikopo? Kwamba ukakopa halafu kurudisha ikawa changamoto? Yapi yalikukumba? Hebu tuambie hapa, baada ya kutazama video ya kina mama hawa.
Sakata la busu laendelea Uhispania
Marais wa mikoa ya shirikisho la soka la Uhisapania wamemtaka Luis Rubiales kujiuzulu mara moja.
Kijana wa miaka 20 ashitakiwa kwa ushoga Uganda
Kijana mmoja, 20, amekuwa raia wa kwanza wa Uganda kushitakiwa kwa vitendo vilivyokithiri vya mapenzi ya jinsia moja.
FIFA yamsimamisha kazi Luis Rubiales kwa siku 90
FIFA iliagiza pia Rubiales na shirikisho la soka la Uhispania kuepuka kufanya mawasiliano ya aina yoyote na Hermoso.
Hermoso akanusha kutoa ridhaa ya kupigwa busu na Rubiales
Timu ya wanawake ya Uhispania imetishia kutocheza tena endapo mkuu wa shirikisho la soka la nchi hiyo hatojiuzulu.
Mkuu wa shirikisho la soka Uhispania akataa kujiuzulu
Rubiales amesema busu lake kwa Hermoso lilikuwa kama kumbusu mtoto na haliwezi kufananishwa na udhalilishaji wa kingono.
Wanawake na maendeleo: Programu ya ''Ndoto ya Kalista''
Katika makala ya wanawake na maendeleo, Selina Mdemu tunaiangazia ''ndoto ya kalista'' programu maalumu nchini Tanzania iliyoanzishwa na mwanadada Scholastica Sultan aliyejikita kuwapa ujuzi na maarifa ya kuwa na fani itakayowawezesha kujikwamua kiuchumi.
Nani mkali kati ya Shelly-Ann na Richardson?
Kunatarajiwa kinyang'anyiro kikali katika fainali ya mbio za mita 100 upande wa wanawake usiku wa Jumatatu
Rubiales atakiwa kuomba msamaha kwa kumbusu Hermoso
Rais wa Shirikisho la Kandanda la Uhispania amekosolewa na mawaziri wa serikali nchini humo kwa kumpiga busu la mdomoni
Kifo chaitilia kiwingu furaha ya nahodha wa Uhispania
Nahodha wa timu ya taifa ya wanawake ya Uhispania na shujaa wao katika fainali ya Kombe la Dunia hapo Jumapili Olga Carm
Uhispania yashinda Kombe la Dunia la Wanawake
Uhispania ilionyesha mchezo wa hali ya juu na kupata nafasi nyingi za kufunga
Sweden yatwaa mshindi wa tatu Kombe la dunia la wanawake
Kilele cha michuano hiyo kitakuwa kesho katika fainali itakayo zikutanisha timu za England na Uhispania mjini Sydney.
Taliban: Mwanamke anashuka thamani akiacha wazi uso wake
Kundi la Taliban lawahimiza wanawake nchini Afghanistan kufunika nyuso akiwa nje ya nyumba.
Wanamgambo wa Sudan wanyooshewa kidole kwa uovu
Shirika la Human Rights Watch limesema kundi la RSF limekuwa likiwalenga wanawake na wasichana Darfur.
HRW yasema kundi la RSF lahusika katika ubakaji Darfur
Washambuliaji hao wanaonekana kuwalenga watu kwa sababu ya kabila lao la Massalit
Uhispania yatinga fainali ya Kombe la Dunia, yaibwaga Sweden
Uhispania watacheza na mshindi wa mechi kati ya Australia na England katika fainali ya Jumapili mjini Sydney
Maandalizi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia la Wanawake
Michuano ya Kombe la Dunia la Wanawake 2023 inayoandaliwa Australia na New Zealand inaingia hatua ya nusu fainali.
14.08.2023 DW Michezo
Mbivu na mbichi kujulikana wakati Kombe la Dunia la Wanawake likiingia nusu fainali// Neymar atimkia Saudi Arabia kutoka PSG huku Mbappe akirejeshwa kikosini// Na RB Leipzig yaharibu karamu ya Bayern Munich ya kumkaribisha staa wao mpya Harry Kane
Sweden kulimana na Uhispania nusu fainali
Mechi hiyo itachezwa katika uwanja wa Eden Park mjini Auckland, New Zealand
Uhispania na Sweden kukutana nusu fainali Kombe la Dunia
Nusu fainali ya kwanza ya Kombe la Dunia la Wanawake kuchezwa wiki ijayo.
Konokono ana faida jamani!
Mwanamama huyu anasema anafaidika kwelikweli na ufugaji wa konokono. Anawatumiaje? Mimi sisemi mengi, tizama video hii umsikie mfugaji huyu wa konokono. #kurunzi
Kocha wa Uholanzi asema hawaiogopi Uhispania
Kocha wa Uholanzi Andries Jonker anasema "anajua kila kitu" kuihusu timu ya Uhispania kuelekea mechi yao ya robo fainali
Kombe la Dunia: Hijabu ya Benzina ni ishara ya ujumuishi
Chaguo la mavazi la beki wa timu ya taifa ya Morcco Nouhaila Benzina linaweza kuwa na athari kubwa zaidi nje ya uwanja.
Wafahamu wasichana wabunifu wa kipimo cha haraka cha malaria
Waangola wawili wamebuni kifaa cha utambuzi wa haraka wa malaria. Mfumo wao wa ubunifu hutoa matokeo dakika mbili tu baada ya mgonjwa kuweka kidole cha shahada kwenye kifaa hicho.
Wanawake na Maendeleo inakiangazia kikundi cha "Anzia Sokoni"
Ni mkusanyiko wa wajane, wanawake waliotelekezwa na wanaume na waliotokea kwenye mazingira magumu mitaani,waliopiga hatua kuendeleza kujikwamua kimaisha kwa kufanya biashara mbali mbali. Ahmad Juma amewatembelea na kutuandalia Makala hii ya wanawake na Maendeleo.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 6 wa 22
Ukurasa unaofuatia