You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Wanawake
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Itifaki ya haki kwa wanawake kuanza kutumika rasmi barani Afrika
Utetezi wa haki za wanawake wapata ushindi mkubwa barani Afrika baada ya viongozi barani humo kuidhinisha mkataba wa Togo juu ya haki za wanawake zitakazo lingana na misingi ya kimataifa.
Wanawake na Maendeleo
Katika kipindi hiki bibi Vivian Kiteke mwanasheria na mwenyekiti wa tume ya kupambana na Ubakaji anaeleza kazi za tume hiyo na matatizo yake.
Wanawake Na Maendeleo
Shida mbali mbali zinazo wakabili wanawake wanao ishi na virusi vya Ukimwi
Wanawake wa Vijijini ni walengwa wapata elimu juu ya UKIMWI
Nchini Tanzania wanawake wanao ishi vijijini walengwa kupata elimu zaidi juu ya kuishi na UKIMWI
Ukatili dhidi ya wanawake ukomeshwe
Wanawake 1000 kwa tuzo ya Nobel
Ingawa katika miaka miwili iliyopita wanawake wawili wamepata tuzo ya Nobel, mmojawapo ni Wangari Maathai kutoka Kenya, bado idadi ya wanawake walioshinda kupata tuzo za Nobel ni ndogo sana. Kwa miaka kadhaa sasa shirika moja kutoka Uswisi linalowakilishi wanawake wote wanajitolea kuleta amani, linalenga kubadilisha hali hii.
Madrid. Genge la kuwauza wanawake lavunjwa.
Idadi ya Maseneta Wanawake kuongezwa Burundi
Wanawake watakuwa maaskofu katika kanisa la Kiangalikana la Uengereza
KHARTOUM: Ubakaji wa wanawake umezagaa Darfur
CAPE TOWN. Rais Thabo Mbeki awapa wanawake nafasi ya makamu wa rais
Wanawake nchini Ujerumani wajinyakulia kombe katika mashindano ya UEFA
Kwa karibu miaka 40 iliyopita,wanawake nchini Ujerumani walianza kucheza mpira wa miguu wa kulipwa.Tangu wakati huo,wanawake wa Ujerumani wameweka rikodi yao katika ngazi ya kimataifa
BERLIN:Sheria ya ubaguzi wa rangi,jinsia,dini yapitishwa na Bunge la Ujerumani Bundestag
Papa Benedikti alaani ndoa za jinsia moja
KUWAIT Wanawake wachaguliwa kuwa viongozi nchini Kuwait
JOHANNESBURG: Wasichana 7 wamezama pwani
ISLAMABAD :Wanawake wakaidi kupigwa marufuku kushiriki mbio na wanaume
KUWAIT: Wanawake wapewa haki ya kupiga kura
LONDON: Hakuna maendeleo makubwa kupunguza mwanya wa jinsia
KUWAIT: Sheria ya kuwawezesha wanawake kupiga kura yagonga mwamba
GENEVA: Matatizo ya ujauzito na uzazi yauwa wanawake
KAMPALA-Waislamu waandamana Kampala kupinga marekebisho yatakayowapa haki zaidi wanawake katika ndoa.
LONDON: Mafuriko ya Tsunami yamechukua maisha ya wanawake wengi
BERLIN : 1,000 waandamana kupinga ukatili dhidi ya wanawake
WANAWAKE WATATHMINI SERA YA BEIJING
Maelfu ya viongozi wa kike kutoka duniani kote wanakutana wiki hii kwa ajili ya tathmini kuu ya kimataifa juu ya kile ilichokifanya Umoja wa Mataifa katika kipindi cha miaka 10 iliopita kuhakikisha haki sawa kwa wanawake katika nyanja zote za maisha. Ujumbe wao kwa Umoja wa Mataifa kwamba sasa hakuna visingizio tena wala kucheleweshwa tena.
Kuna haja kubwa ya kuhakikishwa haki sawa kati ya wanawake na wanaume katika Ujerumani
Tarakimu za wataalamu zinasema wanawake katiika Ujerumani huwapita wanaume wakati huu katika maswala ya elimu, kila mwanamke wa pili huchukua masomo katika chuo kuikuu baada ya kumaliza shule. Tatizo lao kubwa kabisa la pamoja ni namna ya kuoanisha shuguli za familia na ajira.
Wanawake nchini Kenya wapigania haki zao zilindwe na katiba.
Wabunge wanawake Rwanda wavunja Rekodi
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 22 wa 22
Ukurasa unaofuatia