You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Wanawake
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Makundi ya wanawake yapaza sauti
Sauti zinazidi kupazwa kuwapa wanawake nafasi ya kushirikiana zaidi katika maamuzi ya kupanga sera,huku viongozi wakijitayarisha kuhudhuria mkutano wa kimataifa mjini New York kujadili mabadiliko ya hali ya hewa.
KAMPALA:Pingamizi dhidi ya ndoa ya jinsia moja zapamba moto
NAIROBI: Wswaada wa viti 50 kwa wanawake washindwa bungeni
Uwakilishi wa wanawake bungeni nchini Kenya
Zaidi ya wanawake 200 leo waliongozana hadi katika majengo ya bunge jijini Nairobi kuwasilisha pendekezo lao la kutaka wapewe nafasi 50 za uwakilishi bungeni mswaada ambao uliendelea kujadiliwa katika kikao cha bunge leo hii.
Kabul. Taleban wawaachilia huru wanawake wawili.
Ukosefu wa Haki za Wanawake Majumbani
Kwa mara ya kwanza,kuna uwezekano mzuri kwa mwanamke kushinda uchaguzi wa rais nchini Argentina.Lakini usawa wa jinsia majumbani,upo nyuma kabisa.
HARARE: Wanawake wa Zimbabwe wateseka
ISLAMABAD : Wanawake wa Kichina waachiliwa
Wanawake weusi wateseka Latin Amerika na eneo la Carribean
Kuna wanawake kiasi cha 75 millioni wenye asili ya kiafrika katika Amerika ya Kusini na eneo la Carribeanwanaomudu kupata nyadhifa za juu katika ulingo wa siasa au kazi za serikali ni chini ya 50.
Mkutano wa kibiashara wa wanawake mjini Berlin
Mkutano wa 17 wa wanawake kuhusu Biashara ,ulimazika mwishoni mwa week mjini Berlin nchini Ujerumani kwa mwito wa kuwepo utandawazi wakiuchumi na changamoto za kibiashara.
Wanawake nchini Burkina faso
Wanawake nchini Burkina faso wanadai na wao wapewe nyadhifa muhimu, katika kuendesha utawala bora wa nchi hio ya Burkina faso.
Wito wa wanawake kuwa na madaraka zaidi nchini Tanzania
Wabunge wanawake katika bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania wamepewa changamoto kuwa kusimamia hoja zinazotetea maslahi ya wananchi ni muhimu kuliko kuangalia maslahi ya vyama vyao.
Wabunge wanawake wa Tanzania wataka kujijengea imani
Wabunge wanawake katika bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania wamepewa changamoto kuwa kusimamia hoja zinazotetea maslahi ya wananchi ni muhimu kuliko kuangalia maslahi ya vyama vyao.
Harare. Waandamanaji wanawake wakamatwa na polisi.
Wanawake na Demokrasia nchini Nigeria
Je wanawake nchini Nigeria wamefaidika vipi na demokrasia katika kipindi cha miaka minane.
Siku ya Wanawake nchini Uganda
Wanawake nchini Uganda pia walisherehekea siku ya kimataifa ya wanawake ambapo rais Museveni amewahutubia wananchi katika uwanja wa Kololo.
Wanawake Ujerumani bado hawana nafasi sawa na wanaume
Siku ya Leo Alhamis , ni siku ya kimataifa ya wanawake, na katika siku hii pia , wizara ya wanawake ya serikali ya Ujerumani inasherehekea miaka 20 tangu kuanzishwa. Katika sherehe hizo anahudhuria pia kansela wa Ujerumani Angela Merkel binafsi, ambaye naye aliwahi kuwa waziri katika wizara hiyo.
NEW YORK: Wanawake wazidi kubaguliwa makazini
Leo ni Siku ya Kimataifa ya Wanawake
Katika kuadhimisha siku ya wanawake duniani ambayo ni leo hii Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetowa wito wa kukomeshwa kwa vitendo vyote vya matumizi ya nguvu dhidi ya wanawake na wasichana katika mizozo yenye kuhusisha matumizi ya silaha.Wakati siku hii ikiadhimishwa imebainishwa kwamba wanawake bado wameachwa nyuma katika masuala ya ajira.
Wanaharakati wadai nafasi zaidi za wanawake katika maamuzi Kenya
Wanaharakati nchini Kenya wako mbioni kudai mageuzi ya katiba yatakayohakikisha kwamba wanawake zaidi wanapatiwa nyadhifa za kupitisha maamuzi katika serikali badada ya kuwa tu washangiliaji,waimbaji na wacheza ngoma kwa ajili ya wagombea.
Kigali:Mkutano wa wanawake barani Afrika
Mkutano wa kimataifa wa wanawake nchini Rwanda
Leo alhamisi unaanza mkutano wa kimataifa wa wabunge wanawake mjini Kigali nchini Rwanda. Mkutano huo utajadili masuala yaliyofikiwa juu ya usawa wa jinsia kama anavyoripoti mwandishi weti wa Kigali Christopher Karenzi.
ROME.Mswaada utakaowalinda wapenzi wa jinsia sawa wapitishwa
BERLIN: Ukeketaji wa wanawake na wasichana upigwe marufuku kisheria
LONDON : Uchunguzi wa kubakwa kwa wanawake wa Kenya
NEW YORK: Mwito wa kuwalinda wanawake na wasichana Darfur
NEW YORK : Wanawake wa Kiarabu wakabiliwa na ubaguzi
JOHANNESBURG.Serikali ya Afrika Kusini yaidhinisha ndoa kwa watu wa jinsia moja
CAPE TOWN: Ndoa kati ya watu wa jinsia moja yaruhusiwa
Hali tete kwa wanawake nchini Iraq
Hali ya wanawake nchini Iraq bado ni mbaya katika jamii kwasababu ya vita kati ya makundi ya kidini vinavyohatarisha maisha ya wanawake.
BEIT HANOUN: Wanawake 2 wa Kipalestina wameuawa na vikosi vya Israel
Mkutano juu ya mafanikio ya wanawake wafanyika Nairobi Kenya
Zaidi ya wajumbe 1000 wamefanya mkutano kutathmini mafanikio ya wanawake tangu kufanyika mkutano wa Beijing miaka 11 iliyopita.
Wanawake wa Irak kaskazini wanaendeleza harakati za kutafuta haki
Miaka 18 iliyopita wanawake hao waliwapoteza wapendwa wao katika operesheni iliyoitwa Anfal iliyo endeshwa na askari wa Saddam Hussein.
NICKEL MINES: Wasichana watatu wa shule wauwawa kwa kupigwa risasi
KABUL.Mkuu wa kitengo cha maswala ya wanawake auwawa
Baghdad. Bomu lauwa watu 31 wanawake na watoto.
Mtando wa Sahiba nchini Tanzania watilia mkazo maendeleo ya wanawake
Bibi Salma Maoulidi mkurugenzi wa mtandao wa Sahiba amewataka wanawake wajiunge kwa wingi na mtandao huo ili kupata manufaa
Berlin:Idadi ya wanawake walioambukizwa HIV yaongezeka Ujerumani.
COLOMBO: Wasichana wa shule 43 wauwawa
CAPE TOWN: Wanawake wakumbuka maandamano ya kupinga ubaguzi
Miaka 50 tangu maandamano makubwa ya wanawake nchini Afrika Kusini
Leo imetimia miaka hamsini tangu wanawake 20.000 wa Afrika Kusini walipoandamana dhidi ya sheria za ubaguzi wa rangi zilizopitishwa na serikali ya utawala wa kibaguzi wa nchi hiyo wakati huo. Mwandishi wetu wa Afrika Kusini, Dagmar Wittek, amekutana na mwanamke mmoja aliyesaidia kuandaa maandamano haya, Amina Cachalia.
Wanawake hawajawezeshwa kujiepusha na ngono
Maelfu ya wanafunzi nchini Uganda wamejiandikisha kama wanachama wa vilabu vinavyojulikana kwa jina ´True Love Waits´- yaani mapenzi ya kweli husubiri. Vilabu hivi vinahimiza kujiepusha na ngono kama njia ya pekee ya kuzuia kuenea kwa ugonjwa hatari wa ukimwi. Lakini je inawezekana kujiepusha na ngono huku wanawake wakiwa hawajawezeshwa kuamua juu ya ngono?
Amani inahitaji wanawake
Tanzania na Ujerumani ni wanachama wawili katika kamati mpya ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia masuala ya kuunda na kuimarisha amani. Bado lakini kamati hiyo haijaanza kazi yake. Mashirika ya wanawake yanataka kutumia nafasi hii kuwashawishi wanasiasa kuhusu umuhimu wa wanawake katika kuimarisha amani.
Ujerumani yaazimia kupambana na ukeketwaji dhidi ya wanawake
Madaktari nchini Ujerumani wamepitisha miongozo na kanuni za matibabu kwa wanawake walioathirika na ukeketwaji, wakibainisha kuwa ukeketaji dhidi ya wanawake ni kosa la jinai chini ya sheria za Ujerumani na kwamba madaktari wanaowakeketa wanawake wataadhibiwa.
Hali ngumu inayowakumba wakimbizi wanawake
Ripoti ya tume ya wakimbizi wanawake na watoto yenye makao yake makuu mjini New York, ni kwamba takriban watu 35 milioni duniani wanaishi katika hali ya kutawanyika baada ya kuyahama makaazi yao ndani katika nchi zao wenyewe au katika mipaka ya kimataifa kwa sababu mbali mbali vikiwemo vita.
Hali ya wanawake nchini Saudi-Arabia
Wanawake nchini Saudi-Arabia wanaishi maisha ya kujificha. Wanakaa ndani, wanajifunga kabisa, wanawekwa kando ya jamii. Lakini hali nchini humo inabadilika. Katika vita vigumu vya kupigania uhuru wao, wanawake wa Saudi-Arabia wanatafuta njia ya kujiukomboa.
Wanawake wahimizwa kuendeleza harakati za kutetea haki zao
Viongozi kutoka nchi mbali mbali waadhimisha siku ya wanawake duniani na kutoa miito kuwataka wanawake waendeleze harakati za kupambana na ubaguzi dhidi yao.
Umoja wa Ulaya na usawa wa jinsia
Umoja wa ulaya waadhimisha siku ya wakinamama na kutambua bado usawa wa jinsia haujafikiwa katika daraja za juu za jumuia hiyo
Leo ni Siku ya Wanawake Duniani
Leo ni siku ya wanawake duniani, siku hii imeadhimishwa kwa kampeni mbali mbali huku utoaji mimba, dhulma za kimapenzi na biashara ya kuuza watu wengi wao wakiwa wanawake zikiwa ndizo mada zilizo mulikwa zaidi katika kuisherehekea siku hii.
Siku ya wanawake ulimwenguni
Eti juhudi za kuleta haki na usawa kati ya wanaume na wanaweka zimefikia wapi?
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 21 wa 22
Ukurasa unaofuatia