You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Wanawake
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Juhudi za kimataifa zaongezeka kuwaokoa wasichana wa Nigeria
Juhudi za kimataifa za kuwaokoa wasichana zaidi ya mia mbili waliotekwa nyara Nigeria na kundi la waasi la Boko Haram zimeongezeka huku nchi mbali mbali zikijitolea kusadia katika shughuli ya uokozi
Rais wa Nigeria aahidi kuwaokoa wasichana waliotekwa nyara
Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan ameahidi kuwakomboa zaidi ya wasichana 200 waliotekwa nyara na Boko Haram huku suala hilo likigubika mkutano wa dunia wa kiuchumi unaopaswa kuangazia fursa za uwekezaji barani Afrika
Mamia ya wasichana waliotekwa nyara Nigeria bado hawajulikani waliko
Shirika la kutetea wanawake nchini Nigeria limeitisha maandamano ya wanawake milioni moja katika mji mkuu , Abuja kupinga kushindwa kwa serikali kuwaokoa mamia ya wasichana wa shule waliotekwa nyara na Boko Haram
Haki za Wasichana
Wanawake barani Afrika wamekuwa na nguvu nyingi katika miaka iliyopita na hata kushika nafasi za uongozi. Licha ya hilo, wasichana wengi bado wanapambana na ubaguzi. Safari ya kufikia usawa wa kijinsia bado ni ndefu.
Athari za mila kwa afya ya mwanamke
Jamii nyingi za Kiafrika zimekuwa zikiendeleza mila na desturi ambazo kwa njia moja ama nyengine zinaathiri afya za wasichana na wanawake watu wazima kwa kiasi kikubwa, licha ya kampeni kubwa kupinga mila hizo.
Wanawake na changamoto kilimo cha mpunga
Wanawake, kundi ambalo linaelezwa kuchangia kwa kiasi kikubwa katika kuzalisha zao la mpunga Afrika wanatumia vifaa duni vya kufanyia kazi ikilinganishwa na wanaume na hivyo kujikuta wakirudi nyuma katika maendeleo.
Uhusiano wa jinsia na mabadiliko ya tabia nchi wajadiliwa mjini Warsaw
Mkutano wa Kimataifa kuhusu mabadiliko ya tabia nchi unaendelea mjini Warsaw, Poland, ambapo suala la jinsia na uhusiano wake katika mabadiliko hayo linajadiliwa kwa upana.
Wanawake Kenya kunyimwa haki ya kumiliki mali ya ndoa
Bunge la Kenya limeidhinisha mswada unaowanyima wanawake haki ya kugawana nusu kwa nusu mali ya ndoa kama watatalikiana na waume zao. Mume na mke watagawana mali ya ndoa kulingana na mchango wa wote
Wanawake wa Saudi Arabia kukiuka marufuku ya kuendesha magari
Wanawake nchini Saudi Arabia wanapania kukiuka marufuku ya kutoendesha magari kwa kuandaa kampeni itakayoshuhudia wanawake hao wakishika usukani katika nchi hiyo ya kifame ambapo ni mwiko kwa wanawake kuendesha magari
Michezo Wikiendi: Ujerumani, Norway, nani zaidi soka ya wanawake?
Ujerumani yasaka taji la sita mfululizo katika mashindano ya ubingwa wa soka ya Wanawake barani Ulaya. Bayern Munich na Borrusia Dortmund zapambana katika Super Cup, na Usain Bolt ashinda tena Uingereza.
Wanawake watatu wauwawa katika Maandamano ya Misri
Ghasia kati ya wafuasi na wapinzani wa rais aliyeondolewa madarakani Mohammed Mursi zimesababisha mauaji ya wanawake watatu katika mji wa Mansura nchini Misri.
Wanawake Zimbabwe wataka usawa wa kijinsia
Wakati Zimbabwe ikielekea katika uchaguzi mkuu mwezi ujao, Umoja wa wanawake unaounga mkono mambo ya siasa WiPSU, umezindua Kura kwa kampeni ya mwanamke ili kuongeza idadi ya wanawake katika utungaji wa sera na maamuzi
Sudan kusini yatakiwa kuheshimu haki za wa wanawake
Miongoni mwa matatizo ya kijamii yanayolikabili taiafa changa la Sudan kusini, kubwa ni mtindo wa watoto wadogo kuolewa mapema. Licha ya kuwepo sheria za kuwalinda lakini sheria hizo bado hazifanyi kazi ipasavyo.
Wanawake nchini Kenya wamenza kuvuka ukomo wa nafasi zao serikalini
Wanawake nchini Kenye wanaanza kuvuka ukomo wa nafasi zao katika Serikali.Hii ni baada ya kuteuliwa wanawake 6 kati ya mawaziri 18 ambao wanaathibitishwa na kamati ya Bunge la Kenya.
Wanawake 3 waliotoweka wapatikana hai
Wanawake watatu wa jimbo la Ohio Marekani wanaoaminika walitekwa nyara muongo mmoja uliopita wamepatikana wakiwa hai kwenye nyumba mmoja ilioko katika mji wa Cleveland karibu na mahala ambapo walionekana mara ya mwisho.
Wanawake 6 wateuliwa katika baraza la mawaziri nchini Kenya
Rais wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta amekwisha anza kazi ya kuteua baraza lake la mawaziri kwa ajili ya kuunda serikali yake baada ya kuapishwa rasmi baada ya uchaguzi wa Machi 4.
Wahariri , juu ya ndoa za jinsia moja
Pamoja na masuala mengine wahariri hao leo wanazungumzia juu ya uamuzi wa Bunge la Ufaransa wa kuzipitisha ndoa za jinsia moja.
Ufaransa yahalalisha ndoa za jinsia moja
Wabunge wa Ufaransa wameidhinisha mswada wa kuhalalalishwa kwa ndoa za jinsia moja licha ya upinzani mkali na kuifanya nchi hiyo kuwa ya 14 kote duniani kuhalalalisha ndoa za mashoga.
Kesi ya watuhumiwa wa siasa kali ya mrengo wa kulia
Kuakhirishwa kesi ya watuhumiwa wa siasa kali ya mrengo wa kulia,maridhiano kuhusu kutengwa idadi maalum ya nyadhifa za juu kwaajili ya wakinamama na Venezuela ni miongoni mwa mada magazetini .
Wanawake na biashara ya mvinyo
Grace Kabogo anaangazia miradi ya wanawake wanaosindika mvinyo, chakula na matunda na namna miradi hiyo inavyowaondoa wanawake hao kwenye utegemezi na kuwajengea uwezo wa kujisimamia mambo yao wenyewe.
Wanawake na biashara ya mvinyo
Grace Kabogo anaangazia miradi ya wanawake wanaosindika mvinyo, chakula na matunda na namna miradi hiyo inavyowaondoa wanawake hao kwenye utegemezi na kuwajengea uwezo wa kujisimamia mambo yao wenyewe.
Bila ya wanawake,habari haziwezi kuwa timamu
Si wengi wanaoshangazwa kwamba wanawake hawawakilishwi vya kutosha katika sekta ya vyombo vya habari.Hata hivyo madhara ya hali hiyo ni makubwa,inasema Ripoti ya taasisi ya wakinamama katika vyombo vya habari-WMC
Uchaguzi Kenya: Wanawake, vijana uongozini
Huku Kenya ikiendelea kuzihesabu kura, wale waliochaguliwa katika nyadhifa mbali mbali baadhi yao wakiwemo wabunge, magavana na maseneta wanaendelea kusherekea ushindi wao, miongoni mwao wakiwa vijana na wanawake.
Jukumu la kuzuia unyanyasaji wa kijinsia ni la wote
Katika Maoni kutoka Idhaa ya Kiswahili ya DW, Saumu Mwasimba, anaongoza mjadala kuhusu unyanyasaji wa kijinsia barani Afrika na dhima ya taasisi za kiserikali na kijamii katika kupambana nao.
Maisha katika kituo cha kuwahudumia wastaafu nchini Ujerumani
Idadi ya watu wanaotumbukia katika hali ya umaskini uzeeni inazidi kuongezeka na wengi kati yao ni wanawake.
Wanawake na maendeleo
Kipato katika tofauti za kijinsia na hasa mwanamke kuzidi mwanamme katika familia kunaleta tija au mifarakanao katika familia.
Wasichana kuvaa na kuwacha matiti wazi ni fasheni au uhuni?
Namna unavyovaa kuna maana kubwa na ndio maana mitindo ya mavazi ni moja ya masuala yanayopewa kipaumbele na vijana wengi, lakini baadhi ya wakati vipaumbele hivyo vinaweza kuzua mitizamo tofauti katika jamii.
Siku ya Wanawake barani Afrika
Leo (31.07.2012) ni siku ya mwanamke barani Afrika. Siku hii inaikumbusha jamii ya Waafrika kumtendea wema mwanamke, ikiwa ni sehemu ya jamii ambayo ina wajibu wa kuleta maendeleo.
Familia za wapiganaji wa Taliban zawa ombaomba
Familia nyingi za wapiganaji wa Kundi la Taliban waliouwawa katika mapigano dhidi ya Jeshi la Pakistan ama waliopoteza maisha yao nchini Afghanistan, sasa zinaishi katika umaskini mkubwa.
Wanawake Saudia marufuku Olympiki
Wakati wanamichezo ulimwenguni wakiingia hatua ya mwisho ya mazoezi kwa ajiri ya mashindano ya Olympiki mjini London, Saudi Arabia imepiga marufuku ushiriki wa wanamichezo wake wa kike katika mashindano hayo.
Obama aunga mkono ndoa za jinsia moja
Rais wa Marekani, Barack Obama, ameunga mkono ndoa za jinsia moja, huku maamuzi hayo yakibadilisha msimamo wake wa awali.
Wanawake wakimbizi wapambana na maisha Uganda
Ingawa maji yakimwagika hayazoleki, bado huo si mwisho wa mtu kupata maji ya kunywa kama anavyothibitisha Marie Mabala, mkimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), anayekabiliana na maisha nchini Uganda.
Wahariri juu ya siku ya wanawake duniani
Wahariri wa magazeti ya Ujerumani leo wanatoa maoni yao juu ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani. Wanahoji, kuwa siku moja haitoshi kuwatilia maanani akina mama duniani.Mwaka unazo siku zaidi ya 300.
Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani
Haki ya wanawake kushiriki katika maisha ya kisiasa imesisitizwa katika mikataba kadhaa ya kimataifa, lakini kuibadilisha haki kutoka kwa maandiko hadi kwenye vitendo kunahitaji jitihada zaidi miongoni mwa wahusika.
Merkel: Mwanamke aliyefanikiwa katika siasa
Leo ikiwa ni siku ya wanawake duniani, tunayatazama maisha ya mwanamke mmoja mwenye mafanikio makubwa ambaye sasa ni kiongozi wa kisiasa wa taifa lenye nguvu kubwa ya kiuchumi. Huyo ni Kansela wa Ujerumani Angela Merkel.
Wanawake wajawazito wanaweza kutibiwa Saratani
Watafiti wamesisitiza kuendelea kutolewa kwa taarifa za wanawake waliopatikana na ugonjwa wa saratani wakiwa na ujauzito; kwani sasa kuna matumaini chanya.
Mkutano wa siku mbili kuhusu Somalia
Serikali ya mpito na Somalia na mashirika kadhaa ya huduma za jamii wanakutana kuzungumzia jinsi ya kujumuishwa koo za nchi hiyo katika serikali mpya huku wakinamama wakidai wabebeshwe jukumu kubwa zaidi .
Ukeketaji wa wanawake ni kinyume na maumbile
Mgogoro wa Syria Magazetini
Kura ya turufu ya Russia na China dhidi ya mswaada wa nchi za magharibi na za kiarabu dhidi ya Syria na athari za kukeketwa wasichana ndizo mada zilizohanikiza magazetini hii leo nchini Ujerumani.
Siku ya Kimataifa ya Ukeketaji dhidi ya wanawake
Kila mwaka siku kama ya leo, dunia nzima inaungana pamoja katika kuadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga vitendo vya ukeketaji dhidi ya wanawake.
Ukeketaji wa wanawake ni uvunjaji wa haki za binaadamu
Mila ya kuwakeketa wanawake inayofuatwa na baadhi ya jamii ulimwenguni inaelezwa kuwa ni aina moja ya udhalilishaji na uvunjaji wa haki za kibinaadamu za wanawake unaohatarisha pia maisha yao.
Ujerumani yahitaji wanawake katika nafasi za uongozi
Magazeti ya Ujerumani leo hii yamezungumzia zaidi kuhusu nafasi sawa za kazi kwa wanawake na wanaume.Halikadhalika suala la mzozo wa madeni katika eneo la mataifa yanayotumia sarafu ya euro.
Wanawake washinda tuzo ya Nobel ya amani
Rais wa Liberia, Ellen Johnson Sirleaf, na mwanamke mwenzake kutoka nchi hiyo, Leymah Gbowee pamoja na mwanaharakati kutoka Yemen, Tawakkul Karman, ndiyo waliotangazwa washindi wa tuzo ya Nobel ya amani mwaka 2011
Wanawake barani Afrika wana mayoma
Maradhi ya kufanya nyama kwenye fuko la uzazi, yanayojuilikana kama mayoma au fibroids, yanawakumba asilimia kubwa ya wanawake katika mataifa masikini, likiwemo bara la Afrika, jambo ambalo linazidi kuhatarisha afya zao.
Wanawake wa Somalia wapo katika hatari ya kubakwa.
Umoja wa Mataifa umearifu kwamba wanawake wanaoikimbia njaa Somalia wanazidi kuwamo katika hatari ya kufanyiwa vitendo vya ngono kwa mabavu, wanapokuwa njiani kuelekea kwenye kambi ya wakimbizi nchini Kenya.
Frauen-WM
.
Fainali ya kombe la dunia la kandanda la wanawake leo
Nani atatawazwa bingwa, Marekani au Japan.
Nusu fainali ya kombe la dunia la wanawake
Ufaransa inakutana na Marekani hii leo jioni katika nusu fainali za mashindano ya kombe la dunia la wanawake huku nayo Sweden ikisubiri zamu yake dhidi ya Japan zikitafuta nafasi ya kufuzu kwa fainali za mashindano hayo
Miujiza ya wanawake uwanjani
Timu ya taifa ya wanawake ya Marekani ilifufuka kutoka tofauti ya bao moja dhidi ya timu ya Brazil na pia kupungukiwa na mchezaji mmoja na kufanikiwa vivyo hivyo kuifunga timu hiyo kupitia mikwaju ya penalti.
Ujerumani imeyaaga mashindano ya kombe la dunia ya wanawake
Timu ya taifa ya wanawake ya Japan imeifunga timu bingwa mtetezi Ujerumani 1-0 katika robo fainali za mashindano ya kombe la dunia ya wanawake mjini Wolfsburg
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 19 wa 22
Ukurasa unaofuatia