You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Wanawake
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Wanawake waandamana kudai maji Goma
Watoto, wanawake na albino wanaathirika zaidi Tanzania
Haki za watoto, wanawake na albino bado zinakiukwa zaidi Tanzania, kulingana na ripoti mpya.
Changamoto ya maji kwa wanawake Singida
Wanawake wa Singida, nchini Tanzania, wanajizatiti kila siku katika kuendesha shughuli za kimaendeleo. Na kilimo, ni mojawapo ya shughuli wanazozipa kipaumbele katika kujikimu kimaisha. Lakini sasa kuna changamoto kubwa: Maji.
Mabadiliko yanachangia katika haki za wanawake nchini humo
Wanawake nchini Saudia Arabia wataweza kupata paspoti bila ya idhini kutoka kwa walezi wao wa kiume .
Marekani watetea ubingwa wao
Marekani wameweka rekodi kwa kushinda Kombe la Dunia la wanawake kwa mara ya nne kwa kuwashinda Uholanzi mbili bila k.
England kuvaana na Marekani nusu fainali
Kombe la Dunia kwa wanawake limefikia hatua ya nusu fainali. Baada ya kuwalaza Ufaransa katika robo fainali.
Wanawake wapambana katika biashara ya kutengeneza vyondo Kenya
Wanawake ni nguzo kuu ya jamii bila wao ulimwengu ungekosa maana. Mchango wa wanaawake kwa masuala ya kijamii hauna mfano. katika jimbo la Machakos eneo la Tala nchini Kenya kina mama wanahalisisha ukweli huo kwamba wanatekeleza majukumu yao ipasavyo licha ya umri wao mkubwa.
England yatinga robo fainali licha ya utata wa VAR
Kocha wa England Phil Neville asema kilichohudiwa uwanjani sio kandanda kabisa
Italia na Brazil kuumana katika dimba la wanawake
Italia yawania kuwa kinara wa kundi lao baada ya kuibuka kiongozi wa kundi hilo, kabla ya kupambana na Brazil
Orodha ya timu 16 za mwisho kukamilishwa
Mechi za mwisho za hatua ya makundi kukamilishwa huku timu zikijitafutia nafasi ya kutinga hatua ya mtoano
Ujerumani, Ufaransa zatinga 16 bora kombe la dunia
Nchi za kiafrika zina matumaini kidogo
England yaibwaga Scotland kombe la dunia wanawake
Michuano wa kombe la dunia kwa wanawake nchini Ufaransa
Kombe la dunia kwa wanawake Ufaransa yaanza vizuri
Wanawake wa Ufaransa wamechukua hatua ya kwanza kufuata nyayo za kombe la dunia kwa wanaume wa nchi hiyo.
Je wenyeji Ufaransa watafurukuta mbele ya Wakorea?
Kombe la dunia la wanawake 2019
Mapambano ya ukeketaji yanafanane na ya Ukimwi
Wanaharakati hao wamesema, mapambano ya ukeketaji hayachukuliwi kwa uzito kama ilivyo kwa Ukimwi
HRW: Wasichana walikuwa wahanga wa unyanyasaji kingono Kasai
Mgogoro wa Kasai DRC
Wanawake wa Korea Kaskazini wageuzwa watumwa wa ngono China
Ripoti yasema Wakorea wengi wa Kaskazini ni watumwa katika madanguro katika wilaya za kaskazini mashariki mwa China.
Wanawake wasomi wanaojiajiri wenyewe Tanzania
Kwenye makala ya Wanawake na Maendeleo, Zainab Aziz anawaangazia baadhi ya wanawake wasomi wanaojiajiri wenyewe nchini Tanzania badala ya kungoja kuajiriwa. Wanawake hao wanatoa mfano wakati ambapo ukosefu wa ajira ni mtihani mkubwa kote ulimwenguni lakini hasa katika nchi zinazoendelea.
Papa Francis: Madai ya wanawake ni halali kutaka haki zaidi
Hasa miito ya kumtaka Papa kutambua uharaka wa mabadiliko makubwa ya kuwapa wanawake nafasi za uongozi.
Siku ya kimataifa ya Wanawake yaadhimishwa
Jinsi watu wanavyoishi kuambatana na nia ya kuleta mabadiliko chanya katika maisha ya wanawake na wasichana.
Spika Uganda aunga mkono shindano la wanawake wanene
Spika wa bunge Uganda aunga mkono shindano la 'Miss Curvy'
Wajue wanawake 10 mahiri zaidi wa soka duniani
DW inawatambulisha wanawake 10 bora zaidi kwenye soka, kwa kuzingatia uteuzi wa tuzo za FIFA za Ballon d'Or.
Wanawake wakisaudi wakimbilia Ujerumani
Hakuna uhuru kwa wanawake wakisaudi na ndio sababu kubwa wanayoitowa ni kwanini wameamua kuikimbia nchi yao
Djinnit ahimiza wanawake wapewe nafasi za uongozi Afrika
Djinnit asema wanawake wana ushawishi mkubwa katika kushinikiza amani na mapatano.
Waziri wa Uganda akosolewa kuwahusisha wanawake na utalii
Wengi wameutaja mpango huo kuwa unaodunisha hadhi ya mwanamke.
UN: Wanawake ni waathirika wakuu wa biashara ya binaadamu
Umoja wa Mataifa iumesema wanawake na wasichana wanaiwakilisha zaidi ya asilimia 70 ya biashara ya binaadamu.
Usawa wa kijinsia makazini utachukua miaka 200
Wanawake wanakabiliwa na safari ndefu ya miaka 200 kupata usawa wa kijinsia ulimwenguni kote.
Tanzania: Matukio ya ukatili wa kijinsia
Tanzania inaendelea kugubikwa na matukio ya ukatili wa kijinsia kwa wanawake.
Haki za binadamu, majivuno ya wanaume na #MeToo
Miaka 70 kamili ya mkataba wa haki za binadamu, Amnesty International yatoa ripoti yake mpya kuhusu haki za binadamu.
Benki ya Dunia: Ndoa za mapema zagharimu nchi nyingi mapato
Zaidi ya theluthi moja ya wasichana kusini mwa Jangwa la Sahara wanaolewa kabla kufikisha umri wa miaka 18.
Tamasha la Jinsia nchini Tanzania
Sikiliza namna tamasha hilo linaloandaliwa kila mwaka nchini Tanzania linavyowasaidia wanawake kujikwamua kiuchumi na hasa wa maeneo ya vijijini
Zaidi ya Wanawake na Wasichana 200 wabakwa Sudan Kusini
Umoja wa Mataifa umelaani mashambulizi hayo ya kingonoo dhidi ya Wanawake na Wasichana wa Sudan Kusini.
Matumizi ya nguvu dhidi ya wanawake magazetini
Matumizi ya nguvu dhidi ya wanawake magazetini
Denmark yasitisha msaada kwa Tanzania
Denmark kuzuia sehemu kubwa ya fedha za misaada
Katika siasa za Ujerumani, wanawake bado wana safari ndefu
Miaka 100 tangu wanawake kupata haki ya kupiga kura, bado hakuna usawa. Nini kimekwenda kombo?
Ukeketaji wapungua miongoni mwa wasichana wadogo
Afrika mashariki ukeketaji umepungua
Je wanawake si wafisadi zaidi kama wanaume?
Je unafikiri wanawake si wafisadi sana kama wanaume? Tazama baadhi ya maoni yaliyotolewa na watu nchini Ghana
Rwanda kuwa na asilimia 50 ya wanawake mawaziri
Taifa hilo linatambuliwa kimataifa kutokana na uwakilishi wa wanawake serikalini, unaofikia asilimia 61 ya wabunge.
Wanajeshi wa upinzani Sudan Kusini waliwateka wanawake: UN
Watu 900 walitekwa na wengine 24,000 walilazimishwa kuyakimbia makazi yao kutokana na kuongezeka kwa mapigano.
Ethiopia: Asilimia 50 ya baraza la mawaziri ni wanawake
Baraza hilo lina waziri wa kwanza wa ulinzi ambaye ni mwanamke,
Siku ya kimataifa ya Wanawake wa Vijijini
Guterres: uwezeshaji kwa wanawake una umuhimu mkubwa katika ujenzi wa dunia yenye amani na ustawi.
Wanawake 6 wenye ulemavu wa ngozi kuukwea Mlima Kilimanjaro
Wanawake hao wanatarajiwa kuukwea mlima huo kuondoa dhana iliyoko kuhusu watu wa jamii yao.
TAMWA yazungumzia rushwa ya ngono kwa wanahabari wa kike
TAMWA inasema waandishi wanawake hawatoi ushirikiano wa kutosha kuhusu masaibu ya kingono wanayokumbana nayo kazini.
Ukatili wa kingono kwa watoto na wanawake wakithiri Tanzania
Ukatili wa kijinsia
Watu walio na sifa za jinsia mbili yani "Ke" na "Me"
Mwanariadha wa Afrika Kusini Caster Semanya alitawala vyombo vya habari wakati aliposhinda medali ya dhahabu kama mwanamke. Lakini jinsia yake ilileta utata kutia doa mafanikio yake. Hiki ni kitu ambacho watu wanaoitwa "wa jinsia ya tatu" wanaweza kukihusisha. Ryan Muriri ni mmojawapo. Tizama video ifuatayo.
Afrika katika magazeti ya Ujerumani
Hata hivyo Kabila amefanya uamuzi huo baada ya kuhakikisha kwamba ataendelea kuwa na usemi.
Kutana na Siti binti Saad
Mwanamuziki maarufu wa taarab kutoka Zanzibar, Siti binti Saad, alikuwa sauti ya wanawake wa Afrika Mashariki.
Wanawake wanaoongoza watalii Kilimanjaro
Inakadiriwa kwamba kati ya waongoza watalii mlimani 2000 waliopo sasa mkoani Arusha, wanawake hawazidi 10. Ni kweli kwamba wanawake hawaimudu kazi hiyo? Katika Wanawake na Maendeleo Veronica Natalis anazungumza na wanawake ambao wanafanya kazi ya kuongoza watalii mlimani, kwa Kiingereza mountain tour guide katika mlima Kilimanjaro uliopo nchini Tanzania.
Pigo kwa wasichana wajawazito Burundi
Mashirika ya haki za binadamu yamekosoa hatua ya Burundi ya kuwapiga marufuku wasichana wajawazito
Changamoto za wajane Afrika
Katika makala ya Wanawake na Maendeleo Veronica Natalis anaangalia juhudi za wanawake wajane kutoka baadhi ya nchi za Afrika Mashariki ambao wanakabiliana na hali ngumu za uchumi katika familia zao, lengo likiwa kuwahamasisha wanawake wajane kufanya shughuli za kuwaingizia kipato na kuyamudu mahitaji ya familia zao baada ya waume zao kufariki.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 15 wa 22
Ukurasa unaofuatia