You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Wanawake
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Je, wasichana wako huku katika siku za sikukuu ?
Kuendelea kuwepo kwa matukio ya ukatili yanayopokonya uhuru wa wasichana kusherehekea Katika siku za sikukuu, kumewafanya wengi kuhofia kutoka kwenda kusherehekea na wengine. Hadija Halifa amezungumza nao.
Wanawake na wanafunzi waandamana kutaka amani Beni
Wanafunzi wa shule za msingi pamoja na sekondari wamekusanyika kwenye ofisi ya Meya wa mji wa Beni nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na wamesema wataendelea kubakia mahala hapo hadi rais Félix Tshisekedi atakapokwenda mjini humo. Wakati huohuo wanawake wa mji huo pia wameandamana kutaka amani
Umoja wa Mataifa wasikitishwa na mzozo wa Tigray
Hii ni taarifa ya kwanza kwa baraza hilo kuichapisha tangu kulipozuka mzozo huo mwishoni mwa mwaka jana.
Msichana aliyeozwa kwa lazima utotoni hatimaye aolewa na chaguo lake
Nchini Ghana wasichana wengi huozwa kwa lazima kusaidia familia zao kuepuka hali ngumu za kifedha. Lakini wasichana hao wenye umri mdogo, hulazimika kuacha masomo, na wananyanyaswa kwenye ndoa.
UNFPA-Mamilioni ya wanawake hawana maamuzi na miili yao
Hii ni ripoti iliyochapishwa na shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na idadi ya watu UNFPA.
Huduma duni za afya ya uzazi zawakwaza wanawake wakimbizi
Kwenye makala ya Wanawake na Maendeleo, Emmanuel Lubega anaangazia jinsi kina mama ni wapambanaji katika kukidhi mahitaji yao binafsi na ya familia zao, na jinsi kukwazwa kwao na masuala kama huduma duni za afya ya uzazi khuathiri maendeleo yao kimapato.
Kwanini ulimwengu umewaangusha wanawake kwa kiasi kikubwa?
Kwanini ulimwengu umewaangusha wanawake kwa kiasi kikubwa?
Kutana na wanawake wakulima wa Azolla mjini Mtwara
Christina Mbele na Elizabeth Erick ni wanawake wanaotumia muda wao katika kilimo cha Azolla. Azolla ni mmea ambao ni chakula cha mifugo na rahisi kulimwa, kilimo hiki kinatumia eneo dogo, hukua haraka na kuvunwa kila baada ya siku 2-3 tu.
Samani na mapambo kutokana na matairi makuukuu
Kwa kutumia taka mbalimbali ambazo zingedhuru mazingira, Josephine na kundi lake la wanawake bila shaka wanatoa mchango mwingine katika kuboresha mazingira. Kutokana na matairi makuukuu na taka nyinginezo wanatengeneza mapambo, samani na vitu vingine. Lubega Emmanuel anasimulia zaidi kwenye #Kurunzi
Wanawake Tanzania wapongeza kuapishwa kwa Samia Suluhu
Kuapishwa kwa Bi Samia Suluhu kuwa Rais wa Tanzania kumepongezwa na wengi hasa wanawake wenzake nchini humo.
Hamisa Zaja mwanaharakati mjini Mombasa
Hamisa Zaja, mwanamke anayeishi na ulemavu kutoka Mombasa, pwani ya Kenya ni mtetezi wa haki za binadamu anayepambana kumaliza ubaguzi nchini kenya na kwingine
Jinsi janga la Corona lilivyoathiri maendeleo ya Wanawake
Katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wanawake ya mwaka huu, janga la virusi vya corona lilitajwa kuleta athari mbaya zaidi kuelekea wanawake na ndio maana Makala ya Sura ya Ujerumani leo hii, inaangazia jinsi vizingiti vya kuzuia maambukizi ya corona, vilivyorudisha nyumba maendeleo ya usawa wa kijinisia yaliyokuwa yamepigwa mpaka sasa. Harrison Mwilima anasimulia.
Maoni: Siku ya Wanawake haina mengi ya kuadhimisha Afrika
Machi 8 ni siku ya kimataifa ya wanawake. Lakini hakuna mengi ya kusherehekea Africa, anaadika Mimi Mefo.
Wanawake Zimbabwe wapambana dhidi ya ubaguzi wa kijinsia
Kwenye karatasi, Zimbabwe ina sheria zinazohakikisha haki za wanawake. Lakini ukosefu wa utekelezaji unawaacha njiapanda
Covid huenda ikasababisha mamilioni ya ndoa zaidi za utotoni
Covid-19 imeifanya hali ambayo tayari ni ngumu kwa mamilioni ya wasichana kuwa mbaya zaidi.
Virusi vyaua wanaume wengi kuliko wanawake, Afrika
Wanawake wanaonekana kuathiriwa kijamii zaidi na janga hilo kuliko kiafya
Amazons: Kikosi cha wanawake cha Dahomey
Ufalme wa Dahomey wakati mmoja ulikuwa maarufu Afrika Magharibi. Hilo ni kutokana na ushujaa wa kikosi chake cha kike.
Amazons: Kikosi cha wanawake cha Dahomey
Amazons: Kikosi cha wanawake cha Ufalme wa Dahomey
Ni ukweli usiopingika kwamba Ufalme wa Dahomey uliokuwa ukitawala kati ya karne ya 17 hadi ya 19 katika eneo lijulikanalo leo hii kama Benin, uliweza kustawi kutokana na kikosi cha mashujaa wa kike kilichoitwa Dahomey Amazons.
Upangaji uzazi
Upangaji uzazi ni muhimu ili uweze kuihudumia familia yako vyema. Hukuwezesha kiyakimu mahitaji ya familia bila ya shinikizo. Lakini je watu wote wana ufahamu kuhusu umuhimu wa kupanga uzazi? Kwenye vidio hii ya Kurunzi Afya, tunajibu hilo swali na mengine mengi.
Msichana Jasiri: Msichana mchuuzi wa maji Dar Es Salaam
Mtaji wa shilingi 2600 imemuongezea thamani ya upambanaji Katika biashara yake ya kuuza maji Katika foleni za jiji kuu la kibiashara Tanzania. Je wewe unaeza kufanyia nini shilingi 2600 za Tanzania, endapo uko nchini humo? Tazama video hii ya Msichana Jasiri, mtangazaji chipukizi Hadija Halifa akujuze zaidi
Rais Kenyatta awahimiza wanawake kujitosa katika biashara
Viongozi na wakuu wa Umoja wa Afrika wamewahimiza wanawake barani Afrika kujitosa katika sekta ya biashara.
Mitandao ya kijamii na utoaji wa elimu ya jinsia
Katika makala ya Sema Uvume Dotto Bulendu anazungumzia mfumo wa kidigitali wa I-Shangazi, ambao umesheheni taarifa zote muhimu zitakazowasaidia watoto na jamii kwa ujumla juu ya elimu jinsia na namna ambavyo wanaweza kuepuka mimba za utotoni.
Wasichana 700 waokolewa dhidi ya ukeketaji Tanzania
Zaidi ya wasichana 700 Tanzania wameokolewa dhidi ya kukeketwa katika mwaka wa 2020
Je mila na fikra potovu huchangiaje manyanyaso ya kijinsia?
Wakati dunia ikifanya kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, nchini Tanzania mila na masuala ya kiuchumi inaelezwa kuwa miongoni mwa mambo yanayochangia unyanyasaji na ukatili wa kijinsia. Hebu tazama na usikilize maoni ya baadhi ya wakaazi wa Dar Es Salaam kuhusu hilo.
Mwanadada aliyetengeneza Hedhi App inayotoa msaada kwa wanawake
Kutana na Flora Njelekela mwanaharakati wa masuala ya hedhi salama ambaye ameamua kutengeneza programu ya simu ambayo inatoa msaada kwa wanawake katika masuala yote ya hedhi ikiwemo taarifa sahihi na kuwakutanisha wanawake na madaktari ili kutatua changamoto za wakati wa hedhi. Video na Hawa Bihoga.
Makala zetu 29.11.2020
Sikiliza baadhi ya makala tuliyokuandalia
Tanzania: Mtandao wa wafanyabiashara Mtwara
Hebu fikiria maisha ya sasa yangekuwaje bila teknolojia? Kwa hakika mapinduzi ya teknolojia yameleta mabadiliko makubwa katika maisha ya kila siku. Katika makala ya Wanawake na Maendeleo Salma Mkalibala anamuangazia Hellen Mchomvu, mwanamke aliyeanzisha mtandao wa wafanyabiashara kwa kuwakutanisha wauzaji na wanunuzi wa bidhaa kupitia mitandao ya kijamii.
Juhudi za kukomesha ukatili dhidi ya wanawake
Kipindi cha Maoni safari hii kinaangazia kampeni ya kupinga na kukomesha ukatili dhidi ya wanawake. Nahodha wa kipindi ni Josephat Charo.
Kuwatambua wanaojihisi kuwa wa jinsia tofauti na hisia zao
Makala ya Mbiu ya mnyonge hii leo inajikita kwenye juhudi za kuwatambua walio na jinsia isiyofanana na hisia zao. Sikiliza ufahamu mengi zaidi. Msimulizi ni Thelma Mwadzaya
Wanaharakati Tanzania wapinga mila za kunyanyasa wanawake
Wanaharakati mkoani Shinyanga, Tanzania wanaonya kuwa, baadhi ya mila zinazoendelezwa huko zinachochea udhalilishaji wa wanawake. Miongoni ni ile inayohusisha kuoshwa mabinti kwa dawa za kienyeji ili wapate mvuto wa kuolewa.
Kampeni ya siku 16 kupinga ukatili dhidi ya wanawake Burundi
Zaidi ya wanawake 13,000 walinyanyaswa Burundi mwaka 2019
Tanzania: Kinyozi mwanamke
Wanawake wanaendelea kufanya kazi zilizokuwa zikionekana kama kazi za wanaume hapo awali. Leo tunaye Maisha Salum, Kinyozi mwanamke wa huko Mtwara Tanzania. Anasema hii ni kazi anayoipenda licha ya changamoto za kutoaminiwa na baadhi ya wanaume. Wewe umeshawahi kukutana na kinyozi mwanamke? Huduma yake ilikuwaje? Tupe uzoefu wako.
Tanzania: Wito watolewa wa kukomesha unyanyasaji wa kingono
Kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia imeanza
Siku ya Kimataifa Kupinga Ukatili Dhidi ya Wanawake
Kila Novemba 25, ulimwengu unaadhimisha Siku ya Kupambana na Ukatili Dhidi ya Wanawake.
Juhudi za wanawake wa Kenya katika kulinda amani
Makala ya Wanawake na Maendeleo inaangalia jinsi wanawake nchini Kenya wanavyochangia juhudi za kudumisha amani
Ujasiriamali wakati wa janga la COVID-19 visiwani Zanzibar
Makala ya Wanawake na Maendeleo inawamulika wanawake visiwani Zanzibar waliotumia janga la Corona kufanya biashara.
Covid-19 yaongeza vurugu dhidi ya wakimbizi wanawake
Uchunguzi umebainisha kuwa ukatili umeongezeka kwa zaidi ya asimilia 70, miongoni mwa wakimbizi wa ndani wanawake.
Kombe la dunia la wanawake ifikapo mwaka 2027
Australia ikishirikiana na New Zealand ni mwenyeji wa michuano ya kombe la dunia kwa wanawake mwaka 2023.
Mwanamke mwendesha trekta na pia mtangazaji wa redio Ghana
Kilimo ndiyo kitega uchumi kikuu kwa wakaazi wengi kaskazini mwa Ghana. Hikimitu Kediri ni mtangazaji wa Habari katika redio na pia mkulima wa kwanza wa kike kupata leseni ya kuendesha trekta kaskazini mwa Ghana. Anawahimiza wanawake wengine kama yeye kufanya kilimo.
Kauli ya kibaguzi ya Magufuli yaibua hisia Tanzania
Rais John Magufuli katika kampeni huko Dar es Salaam aliwataka wapiga kura kumchagua mgombea mmoja mwanamke kwa kusifia weupe wake. Matamshi yake yametafsiriwa kama ubaguzi dhidi ya wanawake weusi. Sikiliza mahojiano kati ya Babu Abdalla na mkurugenzi wa shirika la kutetea haki za wanawake nchini Tanzania TGNP Hellen Kijo Bisimba.
Wanawake wa Maasai Tanzania na uvunaji asali
Makala ya Wanawake na Maendeleo safari hii inaangazia juhudi za wanawake wa jamii ya katika ufugaji nyuki na urinaji asali nchini Tanzania. Veronica Natalis na mengi zaidi
Vita dhidi ya utamaduni wa kuwakeketa wasichana katika jamii ya Wamaasai
Ukeketaji umesalia kuwa kati ya tamaduni zinazowasababishia wasichana wengi changamoto za kiafya ikiwemo kifo. Ajabu ni kwamba katika baadhi ya jamii, utamaduni huo ungali unaenziwa. Mshindi wa zamani wa urembo nchini Tanzania Diana Edward Lukumai anatumia umaarufu wake kuukomesha utamaduni huo.
Unyanyasaji wasababisha wasichana kuacha kutumia mitandao
Shirika la Plan International limesema unyanyasaji wa mitandaoni umesababisha wasichana kutotumia mitandao ya kijamii.
Mimba za utotoni kwa wasichana wa mitaa ya mabanda Kenya
Uzazi ni jambo zito kwa mwanamke, hata hivyo ulezi unapoanza mapema mambo yanabadilika. Wasichana wanaoishi katika mitaa ya mabanda Kenya wapo hatarini kutumbukia katika hilo kwasababu ya hali za nyumbani. Makala yetu leo inaangazia hilo na msimulizi ni Thelma Mwadzaya.
Janga la Corona latishia kurudisha nyuma masuala ya afya
Ripoti ya Umoja wa Mataifa imesema janga la virusi vya corona linatishia kurudisha nyuma hatua katika masuala ya afya.
Wanawake wanaweza: Mwenyekiti wa kata ya Enguserosambu wilaya ya Ngorongoro
Nani kasema wanawake hawawezi? Kutana na mwanamke wa kimaasai Noorkiyengop Mbama ambaye ni Mwenyekiti wa kata ya Enguserosambu wilaya ya Ngorongoro mkoa wa Arusha kaskazini mwa Tanzania. Mbama ni mwanamke wa kwanza kuiongoza kata hiyo ya Enguserosambu.
Zanzibar: Wanawake wachuuzi wa samaki minadani Pemba
Karibu kwenye minada ya samaki kisiwani Pemba utawakutana na wanawake hawa ambao wameanza kushuhudiwa wakiwa sehemu ya kukuza pato kwa kushiriki minada ya ununuzi na uuzaji wa samaki ili kujisaidia kujikimu, kujiimarisha kiuchumi pamoja na kusaidia familia zao. Ahmad Juma na mengi zaidi kwenye Kurunzi ya Wanawake
Wanawake kuongezwa biashara ya bodaboda, Kenya
Changamoto za kiusalama, dhuluma za kijinsia na unyanyapaa ni baadhi ya sababu zinazowazuia wanawake kujiunga.
Utengenezaji wa meko kwa njia ya ufinyanzi
Ufinyanzi wa vyungu ni sanaa ya zamani. Hata hivyo ufinyanzi bado unatumika na si kufinyanga vyungu tu bali pia kutengeneza meko au majiko ambayo yanahifadhi nishati. Mama kwa jina Marry Gilbert Shayo anaendeleza sanaa hiyo mjini Dar es Salaam Tanzania. Ahmad Juma anakufahamisha zaidi kwenye Kurunzi ya Wanawake.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 13 wa 22
Ukurasa unaofuatia