You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Wanawake
Ruka sehemu inayofuata Habari
Habari
02.09.2025
2 Septemba 2025
Burkina Faso yaidhinisha sheria ya kupinga ushoga
Onesha zaidi
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Wingi wa wanawake na nyota njema kwenye uongozi, Zanzibar
Wingi wa wanawake na nyota njema kwenye uongozi, Zanzibar
Pazia la uchukuaji wa fomu lilifunguliwa Agosti 28 kutarajiwa kufungwa Septemba 10
Mamas of Zanzibar: Kutunza utamaduni, kujenga maisha
Mamas of Zanzibar: Kutunza utamaduni, kujenga maisha
Wanawake wa Zanzibar wamegeuza urithi wa utamaduni wao kuwa darasa la kipekee kwa wageni, wakijenga maisha bora.
Mkwamo wa soka la Wanawake visiwani Zanzibar
Mkwamo wa soka la Wanawake visiwani Zanzibar
Soka la wanawake Zanzibar linakumbwa na changamoto kadhaa zinazozuia ukuaji wake licha ya vipaji vilivyopo visiwani humo. Hali ya uwekezaji duni imeathiri pakubwa ustawi wa wachezaji, uwepo wa viwanja vichache na ukosefu wa udhamini wa kutosha kwa timu za wanawake. Najjat Omar anaangazia hali ya soka la wanawake Zanzibar.
Wanawake maveterani wa Kosovo bado hawathaminiwi, kwa nini?
Wanawake maveterani wa Kosovo bado hawathaminiwi, kwa nini?
Maveterani wanaume hutambuliwa zaidi kutoka kwa taasisi za serikali na umma, tofauti na wanawake waliopigana vita
Kukosa ajira hadi kuanzisha kituo cha redio
Kukosa ajira hadi kuanzisha kituo cha redio
Baada ya kumaliza masomo yake nje ya nchi mwaka 2012, Jacqueline Lawrence Mwakyambiki aliamua kuanzisha kituo cha redio.
Wanawake walidhulumiwa wakati na baada ya vita vya Tigray
Wanawake walidhulumiwa wakati na baada ya vita vya Tigray
Ripoti ya mashirika mawili ya kutetea haki imesema, wanawake walinyanyaswa kingono wakati na baada ya vita vya Tigray.
Onesha zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwa
Yenye kuangaziwa
Wasichana waliopata ujauzito kuendelea na shule Kongo
Baadhi wanaamini ni kwa manufaa ya wanafunzi wa kike na wengine wasema itaruhusu upotofu wa maadili kwa wasichana.
Kenya kupambana na unyanyasaji wa kijinsia kidijitali
Kenya yazindua kampeni ya kidijitali kupambana na ongezeko la unyanyasaji dhidi ya wanawake na wasichana.
Kabila akutana na makundi ya wanawake Kongo
Joseph Kabila ana nia yakuendeleza mazungumzo ya amani na makundi yote ya kijamii na kisiasa Kongo.
Nigeria: Je, Mswada wa jinsia unaweza kuleta mabadiliko?
Wanawake nchini Nigeria wanataka kutegewa nafasi zaidi ndani ya bunge la taifa.
Teknolojia ya kisasa ya kilimo cha kumwagilia maji, Kenya
Teknolojia ya kisasa inatumia nishati ya sola kusambaza maji yanayotoka mto Thiba hadi mashambani kijijini Gachuriri.
Mauaji ya wanawake yaongezeka nchini Kenya
Hayo ni kulingana na takwimu kutoka Huduma ya Taifa ya Polisi na Kituo cha Taifa cha Utafiti wa Uhalifu.
Maudhui yote (1076) kwenye mada hii