Wamassai waendeleza mila kupitia sanaa ya muziki, Kajiado
Michael Kwena (HON) / MMT11 Agosti 2025
Jamii ya Wamassai nchini Kenya imekuwa ikijivunia mila zake za jadi kwa muda mrefu ila ujio wa kizazi kipya cha vijana kutoka jamii hiyo, imeonekana kama isiyozingatia desturi zao. Ndio maana viongozi wa jamii hiyo wanaendesha sasa kampeni ya kuwafunza vijana mila na desturi zao kupitia sanaa ya muziki. Makala ya Utamaduni na Sanaa inaangazia hayo.