Ripoti ya hivi karibuni imebainisha kuwa ukeketaji na ndoa za mapema zimeongezeka katika kaunti ya Marsabit nchini Kenya. Visa hivyo vinaripotiwa licha ya mamlaka nchini humo kupiga marufuku ukeketaji huku wakaazi wengi wakieleza wasiwasi kuhusu ongezeko hilo na kuhimiza hatua madhubuti kuchukuliwa kuzuia visa hivyo. Mtayarishaji wa Makala Yetu Leo ni Michael Kwena.