SiasaBrazil
BRICS kutoa wito wa ulinzi kwa matumizi yasioidhini ya AI
6 Julai 2025Matangazo
Taarifa hiyo ya awali imeonekana wakati wa mkutano wa siku mbili unaofanyika Rio de Janeiro, Brazil. Mjadala kuhusu AI umepewa kipaumbele, huku makampuni makubwa ya teknolojia kutoka mataifa tajiri yakikosolewa kwa kukaidi wito wa kulipa ada za hakimiliki kwa maudhui yanayotumiwa kufundisha mifumo ya AI.