Maendeleo ya teknolojia yamewapa vijana nafasi kubwa ya kufanyakazi katika mazingira huru, huku ofisi nyingi zikivutiwa na mtindo huo kutokana na kupunguza gharama za uendeshaji ofisi. Katika makala ya Vijana Mchakamchaka hilo ndio vijana wanajadili linafaida kwao?