Vijana wadogo wakiwemo wanafunzi wa shule za Sekondari nchini Nigeria wanajituma kufanya ubunifu katika teknolojia hasa ya akili mnemba ili kupata ufumbuzi wa masuala mbalimbali kwenye jamii yakiwemo ya elimu, nishati, usalama, kilimo na huduma za afya. Ungana naye Angela Mdungu kwenye makala ya Sema Uvume kusikiliza zaidi.