You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Picha: DW
Vidio zetu
Tazama vidio zetu hapa
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Dibobe: Kutoka maonesho hadi mwanaharakati dhidi ya ukoloni
Quane Martin Dibobe alikuwa mwanaharakati wa haki za binaadamu aliyepinga unyonyaji wa Ujerumani kwa makoloni yake.
Matokeo ya awali DRC yanaonyesha Felix Tshisekedi anaongoza
Wapiga kura milioni 44 walitekeleza haki yao ya kikatiba ya kumchagua rais, wabunge, magavana na madiwani wa manispaa.
Ukoloni ulivyobadilisha mfumo wa utawala wa Togo milele
Togo ilipandishwa hadhi kama "koloni la mfano" kukidhi andasa za watawala wa kikoloni wa Kijerumani.
Msichana Jasiri: Watetezi wachanga wa haki za binadamu
Adeline Adelhard na Adela Adelhard ni dada pacha. Kando na kufanana kwa muonekano pia wanafanana kwenye mitazamo na maono yao. Si ajabu katika umri wa miaka 13, tayari wanatetea haki za watoto nchini Tanzania. Ndio wanatupambia makala ya Msichana Jasiri leo wakiwa Dar es Salaam. Mwenyeji wao ni mtangazaji chipukizi Mitchelle Ceaser
Mauaji ya kwanza ya kimbari katika karne ya 20
Kati ya mwaka 1904 na 1908, wakoloni wa Kijerumani ziliendesha mauaji ya kimbari dhidi ya Waherero na Wanama wa Namibia.
Kutoka Kaiser Wilhelm Spitze hadi Kilele cha Uhuru
Wakoloni wa Ulaya sio tu walizing'owa jamii, bali pia walijaribu kuharibu utambulisho wao.
Pambana! Waafrika Mashariki wakabiliana na ukoloni
Uvamizi na ukoloni wa Kijerumani ulikumbana na upinzani wa kijasiri kutoka kwa wenyeji wa Afrika Mashariki.
Kampuni ya Woermann ilivyousafirisha ukoloni wa Ujerumani
Mfanyabiashara wa Kijerumani alipata faida kubwa kwenye biashara ya zama za ukoloni kwa msaada wa jeshi la Ujerumani.
Uporaji wa ardhi: Kuzaliwa kwa Ukoloni wa Ujerumani
Mikataba tata ya ardhi iliyofanywa na wafayabiashara wa Kijerumani ilisaidia kuhalalisha madai ya kikoloni kwa Afrika
Wanawake wa Goma wanataka nini kwenya uchaguzi huu?
Wanawake wa Goma wanasema hawana haja na kingine kwenye uchaguzi huu zaidi ya kuwaomba watakaochaguliwa kuwaletea amani na utulivu. Hata wagombea nao wana miito kama hii. Ruth Alonga alituandalia video hii.
DW yazindua makala mpya za "Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani"
Vidio na vipindi hivi vya redio pia vinaangalia jinsi ukoloni wa Ujerumani unavyoendelea kuwepo katika maisha ya sasa
Kutana na mbunge kijana wa Tanzania katika bunge la SADC
Makala ya Msichana Jasiri leo inamuangazia kijana mwakilishi wa Tanzania katika bunge la Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC Meseline Raphael. Je alifikaje huko? Milima na mabonde anayokutana nayo ni kama yapi? Je ni vipi amekuwa mfano kwa vijana wenzake, na ndoto yake kuu ni ipi? Mtangazaji wetu chipukizi Mitchelle Ceasar amezungumza naye. Tazama.
Unaitumiaje mitandao ya kijamii?
Kabla ya kuchapisha ama kusambaza jambo lolote kwenye mitandao ya kijamii je huwa unafikiria litakuwa na athari gani kwa mtu mmoja ama jamii kwa ujumla? Je unaijua athari ya kuchapisha taarifa zisizo na uhakika? Tizama video hii kwa mengi zaidi.
Leticia Shija msichana jasiri wa Dar es Salaam
Leticia Shija, binti mdogo mwenye faida kubwa kwa vijana na hasa wasichana wenziwe. Mtazame, msikilize katika mazungumzo yake na Mitchelle Ceasar mtangazaji chipukizi wa DW.
Shamrashamra za msimu wa likizo Berlin
Kurunzi Ujerumani leo inauangazia mji mkuu wa Berlin na jinsi ulivyopambwa kuelekea sikukuu ya Krismasi na Mwaka mpya.
Mama apoteza mtoto machoni mwake Manyara
Serikali ya Tanzania inaendelea na kazi ya uokozi huku juhudi zaidi zikiendelea katika kuwahudumia wahanga wa mafuriko.
Tatizo lenye kusumbua mfumo wa uzazi
Si kila shida ya mfumo wa uzazi, inaweza kuwa ugumba. Itazame vyema vidio hii ya Fathiya Omar labda, wewe, ndugu zako na wale wanaokuzunguka wanaweza kupata ufumbuzi katika kutafuta mtoto.
Sanaa ya kuchora na musiki katika kuokoa wasichana
Sanaa ya muziki inapitisha ujumbe kwa namna nyepesi kabisa miongoni mwa vijana, Je wasanii wanawakumbuka shabiki zao?
Athari za mvua na mafuriko Mombasa, Pwani ya Kenya
Wakaazi wanaoishi katika mitaa ya mabanda mjini Mombasa wako hatarini ya kupata magonjwa yatokanayo na maji machafu.
Kurunzi Live
Karibu kwenye Kurunzi Live na leo tunazungumzia siku 16 za kupinga ukatili dhidi ya wanawake. Studioni yupo Lilian Mtono na Sudi Mnette.
Chukua hatua za kupinga ukatili wa kijinsia
Wakati ulimwengu ukiadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, bado jamii inakabiliwa na visa vya unyanyasaji dhidi ya kundi hili. Nini kifanyike ili hatimaye vitendo hivi viondolewe? Tizama video hii kisha utupe maoni yako
Maoni na matarajio ya Wakenya kwa utawala wa William Ruto
Siku ya Kuvumiliana Duniani
Hivi ni kwa nini watu wanashindwa kuvumiliana wanapojikuta katika tofauti? yaani mnabishana hadi kuishia kwenye ugomvi wa kuumizana na pengine kudhuru maisha ya mtu. Kulikoni? Kwa nini uvumilivu unapotea baina ya watu? Veronica Natalis alituandalia video hii, itizame na kisha utupe maoni yako.
Nyota changa inayong'ara katika sanaa ya uigizaji Tanzania
Nyota inang'ara katika sanaa ya uigizaji kwa msichana mdogo Samira, wazazi wamekuwa na mchanga katika safari yake.
Kirchmesse: Sherehe za kitamadauni Ujerumani
Sherehe hizi zimekuwa zikifanyika kwa miaka na dahari sasa, ambapo zinawaleta pamoja wajerumani.
Kurunzi Afya: Chanjo ya uraibu wa cocaine
Wanasayansi nchini Brazili, wako mbioni kutengeneza chanjo ya kutibu uraibu wa dawa za kulevya. Chanjo hiyo iliyopewa jina la Calixcoca tayari imeonyesha mafanikio katika majaribio kwa yaliyofanywa kwa Wanyama.
Ulemavu si mwisho wa maisha
Licha kwamba wao ni walemavu wa viungo, hawajaruhusu hali hiyo kuwa kisiki au kuwapotezea matumaini ya kucheza mpira wa kikapu. Hapa wako uwanjani wakifanya mazoezi mjini Bukavu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Ndoto yao ni kupiga hatua zaidi na kushiriki michezo ya kitaifa na kimataifa. Mitima Delachance aliwatembelea na anasimulia zaidi
Teknolojia ya viungo bandia
Teknolojia inaenda kwa kasi sana. Hii leo mtu mwenye ulemavu anaweza kupewa mkono unaotumia umeme. Hauna tofauti sana na mkono wako wa kawaida kwa sababu mkono huu una uwezo wa shughuli mbalimbali. Hebu tujiunge na Tatu Yahya aliyeshuhudia haya kwa macho. #kurunziafya
Ummi Sadick, msichana jasiri anayeongoza kampeni ya afya
Kutana na Ummi Sadick, msichana anayeongoza kampeni ya afya ya jamii mjini Mombasa, pwani ya Kenya.
Msichana Jasiri: Mfahamu Ahlam Swaleh, binti anayewasaidia vijana kuleta mabadiliko
Ni binti aliyejitokeza kuwasaidia vijana wenzake kuleta mabadiliko kupitia mpango wa ushauri kwa wanafunzi. Ni binti wa miaka 24 tu, lakini tayari ananuia kufanya mabo makubwa sana katika kuwainua wenzake huko pwani ya Mombasa nchini Kenya. Ni nani huyu? Ungana na Fathiya Omar kumfahamu zaidi kupitia makala haya ya msichana Jasiri.
Silke: Nimepewa moyo na mapafu kutoka kwa mfadhili nisiemjua
Maisha ya Silke Schulze yamenusurika baada ya kupata moyo na mapafu kutoka kwa mchangiaji alieidhinisha kuondolewa viungo vyake punde tu baada ya kufariki, mfumo huo umesaidia watu wengi waliokuwa wanahitaji msaada, sasa anaishi kwa kushuru kwa hisani isio mithilika.
Mfahamu Mai Zumo msichana muigizaji
Mai Zumo alingia kwenye sanaa ya uchekeshaji akiwa na miaka mitatu, safari yake ilianza bila ya kutaraji.
Mauti harusini- Iraq yaomboleza vifo vya zaidi ya watu 100
Iraq inaomboleza vifo vya karibu watu 100 waliopoteza maisha kwa mkasa wa moto uliozuka kwenye ukumbi wa harusi kaskazini mwa nchi hiyo usiku wa kuamkia Jumatano. Bwana na bi harusi ni miongoni mwa waliouawa.
Wakaazi Abidjan waweka mifumo ya maji taka kulinda afya
Taka imekuwa ni kero kubwa na kuhatarisha afya ya jamii katika moja ya kitongoji katika mji wa kiuchumi Ivory Coast Abidjan, kundi la vijana limeamua kutosubiri mamlaka kuchukua hatua, wameamua kutengeneza mifumo ya maji taka ili kuondoa tatizo kadhalika kuleta ustawi wa afya ya jamii katika eneo husika.
Msichana Jasiri inamuangazia dada mjenzi Dar es Salaam
Recho ni msichana aliye amua kuipigania kesho yake licha ya baadhi ya watu kuwa na mtazamo tofauti juu yake lakini haikuwa sababu ya yeye kutokufika hapa alipo. #MsichanaJasiri
Shimoni:Nguvu ya filamu ndani ya mwanamke
Tamasha la Filamu za Kiafrika la Köln linafanyika kwa mara ya 20, Angela Wanjiku Wamai mtengenezaji wa filamu kutoka Kenya anaonesha filamu yake kwa mara ya kwanza katika jukwaa hilo la kimataifa, filamu yake inaonesha na kutambua mapambano ya mtu mmoja mmoja kwenye jamii katika kuleta mabadiliko.
Msichana Jasiri: Unaitumiaje mitandao ya kijamii?
Katikati ya changamoto zinazotokana na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii, nchini Tanzania anajitokeza binti huyu ambaye anawasaidia wengi kutambua ya kwamba mitandao hii si ya kupotezea muda, bali ina faida. Ni kwa namna gani? Ungana na Tatu Yahya anayetukutanisha na binti huyu katika makala ya Msichana Jasiri.
Fahamu zaidi kuhusu homa ya baridi ya bisi
Homa kali ya baridi ya bisi au rumatizimu kitaalamu 'rheumatic fever' ni ugonjwa ambao husababishwa na bakteria aina ya steptococcs matokeo yake huwa ni kushambuliwa kwa viungo kama vile kiwiko na magoti hivyo hupelekea baadhi yao kuharibika au kuziba kwa mishipa ya moyo.
Msichana Jasiri: Wachezaji chipukizi wa mpira wa kikapu
Michezo sasa imegeuka fursa kwa vijana na hata wasichana pia hawajabaki nyuma katika kuitumia michezo kukutana na watu na kufika mbali zaidi, licha ya kuwa na changamoto katika michezo na jamii kuwa na mtazamo mbaya juu yao, lakini si sababu ya wao kutokuziishi ndoto zao. Je wamefanikisha katika hili?
Mfahamu Carol Mkenya anayemiliki mgahawa Ujerumani
Carol-Waithira Mühlenbrock alikulia nchini Kenya na kusoma chuoni huko. Alikuja Ujerumani miaka 17 iliyopita na kuanza upya kujenga maisha. Leo, yeye ni mmiliki wa mgahawa, mpishi mkuu na anaeneza mapishi yake pamoja na uzoefu wake kupitia mitandao ya kijamii. Katika video hii, anazungumzia jinsi alivyofikia mahali alipo leo na jinsi mtazamo wake kuhusu anachokiona kama “nyumbani” umebadilika.
Wanawake wanapoamua kujifunga kizazi
Jasmin mwenye umri wa miaka 25 alifungwa kizazi kwa sababu hataki kupata watoto. Lakini kupata daktari ambaye angefanya upasuaji haikuwa rahisi.Je mbinu gani alitumia? Tazama video
Mikopo na madhila yake
Ulishawahi kukumbwa na maswahibu ya mikopo? Kwamba ukakopa halafu kurudisha ikawa changamoto? Yapi yalikukumba? Hebu tuambie hapa, baada ya kutazama video ya kina mama hawa.
Jumba la makumbusho la Kariandusi, Nakuru
Jumba la makumbusho la Kariandusi limesheni mabaki ya uvumbuzi wa kijiolojia, korongo na sanaa za utamaduni wa kale.
Urusi yalaumiwa kwa kifo cha mkuu wa Wagner
Wachunguzi wa ajali ya ndege leo wamechukua mabaki ya ndege hiyo na wameanzisha uchunguzi wa jinai.
Maajabu ya Koblenz
Mji wa Koblenz unafahamika kuwa moja ya miji ya kitalii nchini Ujerumani kutokana na uwepo wa vigari vya kuning'inia.
Ufahamu ugonjwa wa Dyslexie ambao huwapata watoto
Dyslexia ni tatizo la afya linalowapata baadhi ya watoto ambao hupata changamoto kutambua herufi zinazounda maneno na baadhi ya namba, baadhi ya wazazi hufikiri watoto hawana kumbukumbu nzuri.
Maandalizi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia la Wanawake
Michuano ya Kombe la Dunia la Wanawake 2023 inayoandaliwa Australia na New Zealand inaingia hatua ya nusu fainali.
Konokono ana faida jamani!
Mwanamama huyu anasema anafaidika kwelikweli na ufugaji wa konokono. Anawatumiaje? Mimi sisemi mengi, tizama video hii umsikie mfugaji huyu wa konokono. #kurunzi
Tanzania yafanya tamasha la kwanza la muziki wa Jazz
Ni tamasha la Kwanza la muziki wa Afro Jazz Tanzania lililopewa jina Evergreen Afro Jazz ambalo limewakusanya wasanii vijana wanaowika katika muziki huu, dhamira ikiwa kuuhuisha baada ya muziki huu kuonekana kana kwamba unatoweka. Tizama muziki mtamu kabisa wenye mahadhi ya Kiafrika. #kurunzi
Msichana Jasiri: Binti mwandishi wa vitabu
Ni binti mdogo sana, lakini tayari anaandika vitabu vyake anapokwenda safari mbalimbali. Ni nani huyu hasa? Ungana na Hadija Halifa aliyemtembelea binti huyu. Utafurahi kumsikiliza. #msichanajasiri
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 4 wa 6
Ukurasa unaofuatia