Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imesema, kura ya mapema itafanyika kama ilivyo kwenye sheria ya tume hiyo licha ya chama kikuu cha upinzani- ACT Wazalendo kupinga. Mohammed Khelef amezungumza na Ismail Jussa makamu mwenyekiti wa chama hicho kujua ni kwanini wanalipinga hilo.