You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Usawa wa kijinsia
Usawa wa Kijinsia ni hali ya uapatikanaji sawa wa rasilimali na fursa bila kujali jinsia.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Usawa wa kijinsia makazini utachukua miaka 200
Wanawake wanakabiliwa na safari ndefu ya miaka 200 kupata usawa wa kijinsia ulimwenguni kote.
Tanzania: Matukio ya ukatili wa kijinsia
Tanzania inaendelea kugubikwa na matukio ya ukatili wa kijinsia kwa wanawake.
Haki za binadamu, majivuno ya wanaume na #MeToo
Miaka 70 kamili ya mkataba wa haki za binadamu, Amnesty International yatoa ripoti yake mpya kuhusu haki za binadamu.
Zaidi ya Wanawake na Wasichana 200 wabakwa Sudan Kusini
Umoja wa Mataifa umelaani mashambulizi hayo ya kingonoo dhidi ya Wanawake na Wasichana wa Sudan Kusini.
Ukraine yawazuia wanaume wa Urusi kuingia nchini mwake
Wanaume wa Urusi wa kati ya umri wa miaka 16 na 60 hawataingia Ukraine wakati wa sheria ya kijeshi
Matumizi ya nguvu dhidi ya wanawake magazetini
Matumizi ya nguvu dhidi ya wanawake magazetini
Katika siasa za Ujerumani, wanawake bado wana safari ndefu
Miaka 100 tangu wanawake kupata haki ya kupiga kura, bado hakuna usawa. Nini kimekwenda kombo?
Je wanawake si wafisadi zaidi kama wanaume?
Je unafikiri wanawake si wafisadi sana kama wanaume? Tazama baadhi ya maoni yaliyotolewa na watu nchini Ghana
Rwanda kuwa na asilimia 50 ya wanawake mawaziri
Taifa hilo linatambuliwa kimataifa kutokana na uwakilishi wa wanawake serikalini, unaofikia asilimia 61 ya wabunge.
Wanajeshi wa upinzani Sudan Kusini waliwateka wanawake: UN
Watu 900 walitekwa na wengine 24,000 walilazimishwa kuyakimbia makazi yao kutokana na kuongezeka kwa mapigano.
Ethiopia: Asilimia 50 ya baraza la mawaziri ni wanawake
Baraza hilo lina waziri wa kwanza wa ulinzi ambaye ni mwanamke,
Siku ya kimataifa ya Wanawake wa Vijijini
Guterres: uwezeshaji kwa wanawake una umuhimu mkubwa katika ujenzi wa dunia yenye amani na ustawi.
Wanawake 6 wenye ulemavu wa ngozi kuukwea Mlima Kilimanjaro
Wanawake hao wanatarajiwa kuukwea mlima huo kuondoa dhana iliyoko kuhusu watu wa jamii yao.
TAMWA yazungumzia rushwa ya ngono kwa wanahabari wa kike
TAMWA inasema waandishi wanawake hawatoi ushirikiano wa kutosha kuhusu masaibu ya kingono wanayokumbana nayo kazini.
Wanaume nao wanastahili kujipodoa?
Kila mtu ana haki ya kupendeza, lakini wanaume kweli wanastahili kujipodoa? Kuna vijana wanaoipinga tabia hiyo na kuna wanaoiunga mkono. Ungana na Jacob Safari usikie maoni ya vijana tofauti.
Ukatili wa kingono kwa watoto na wanawake wakithiri Tanzania
Ukatili wa kijinsia
Afrika katika magazeti ya Ujerumani
Hata hivyo Kabila amefanya uamuzi huo baada ya kuhakikisha kwamba ataendelea kuwa na usemi.
Kutana na Siti binti Saad
Mwanamuziki maarufu wa taarab kutoka Zanzibar, Siti binti Saad, alikuwa sauti ya wanawake wa Afrika Mashariki.
Wanawake wanaoongoza watalii Kilimanjaro
Inakadiriwa kwamba kati ya waongoza watalii mlimani 2000 waliopo sasa mkoani Arusha, wanawake hawazidi 10. Ni kweli kwamba wanawake hawaimudu kazi hiyo? Katika Wanawake na Maendeleo Veronica Natalis anazungumza na wanawake ambao wanafanya kazi ya kuongoza watalii mlimani, kwa Kiingereza mountain tour guide katika mlima Kilimanjaro uliopo nchini Tanzania.
Changamoto za wajane Afrika
Katika makala ya Wanawake na Maendeleo Veronica Natalis anaangalia juhudi za wanawake wajane kutoka baadhi ya nchi za Afrika Mashariki ambao wanakabiliana na hali ngumu za uchumi katika familia zao, lengo likiwa kuwahamasisha wanawake wajane kufanya shughuli za kuwaingizia kipato na kuyamudu mahitaji ya familia zao baada ya waume zao kufariki.
Baraza jipya la Uhispania laapishwa likiwa na wanawake wengi
Baraza jipya la mawaziri la Uhispania, ambalo asilimia 65 ya mawaziri wake ni wanawake, limekula kiapo mjini Madrid leo Alhamis. Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo Pedro Sanchez, amesema linawakilisha kilicho bora kabisa katika jamii ya nchi hiyo. Kiapo hicho kimechukuliwa mbele ya mfalme wa nchi hiyo, Felipe VI.
Sanchez atangaza baraza la mawaziri lenye wanawake wengi
Waziri Mkuu wa Uhispania Pedro sanchez atangaza baraza la mawaziri lenye mawaziri 11 wanawake.
AI: Jeshi Nigeria liliwabaka wanawake
Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu Amnesty International, limeitaka Nigeria kuyashughulikia madai kwamba wanajeshi na baadhi ya wanamgambo; wamewabaka wanawake na wasichana katika kambi za wakimbizi wa machafuko yanayosababishwa na uasi wa Boko Haram
Dhuluma za Kinyumbani
Victoria Larsbrey alimuacha mumewe aliyekuwa anampiga mwaka 2011 na kuwa mwanaharakati dhidi ya dhulma za kinyumbani. Anawataka wanawake wengine waufuate mfano wake. Lakini katika baadhi ya sehemu za Afrika, baadhi ya wanawake bado wanaamini kwamba wanaume wanastahili kuwapiga ili kuonyesha kwamba wanawapenda.
Wanawake wanaojijenga katika tasnia ya ubunifu wa mavazi
Ungana na Amina Abubakar kusikia juu ya namna wanawake wanavyojitahidi kukuza sekta ya mavazi barani Afrika.
Papa: Kuwanyanyasa wanawake ni uhalifu dhidi ya ubinadamu
Papa Francis ameutaja unyanyasaji wa wanawake kwa ajili ya ukahaba kuwa ni uhalifu dhidi ya ubinadamu.
Vijana wapambana na ukatili dhidi ya wanawake na watoto
Hawa Bihoga anajadiliana na Huzla Mchata kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), wakili Naeni Silayo na mwanaharakati anayetetea haki za wasichana. Fuatilia mjadala wao katika Makala hii ya Vijana Tugutuke.
Unamtaka mwenye hela au mwenye misuli?
Kuna mijadala kuwa kizazi cha sasa cha vijana kinapendelea hela kama kigezo muhimu kuzama katika bahari ya mapenzi.
Kwanini wanawake hawapewi haki sawa na wanaume?
Asilimia 77 ya watu kusini mwa Jangwa la Sahara barani Afrika ni vijana chini ya miaka 35. Vijana Mubashara - 77 Asilimia ni jukwaa lao, kupitia DW. Katika Vijana Mubashara wiki hii kijana tunakuuliza ni kwanini katika ulimwengu wa sasa bado wanawake hawapewi haki sawa na wanaume?
Je, wanawake leo hii wamekuwa na haki zaidi kuliko wanaume?
Asilimia 77 ya watu kusini mwa Jangwa la Sahara barani Afrika ni vijana chini ya miaka 35. Vijana Mubashara - 77 Asilimia ni jukwaa lao, kupitia DW. Katika Sabini na Saba asilimia kijana tunakuuliza, je, wanawake leo hii wanapewa haki zaidi kuliko wanaume kutokana na kampeni tofauti zinazoendeshwa kote ulimwenguni kupigia debe haki za wanawake?
DW: Ukatili dhidi ya wanawake ukomeshwe
Wakati dunia ikiadhimisha siku ya kimataifa ya wanawake, wanawake kutoka idhaa mbalimbali za DW wameungana kupaza sauti ya kutaka kukomeshwa kwa ukatili dhidi ya wanawake na watoto wa kike. #Imetosha.
ILO: Wanawake bado wataabika kupata ajira
Bado wanawake walio katika ajira wanalipwa kidogo ikilinganishwa na wenzao wa kiume.
Siku ya wanawake duniani
Wasikilize waandishi wa Idhaa ya Kiswahili ya DW wakiyazungumzia matarajio yao mbele ya siku ya Kimataifa ya Wanawake ambayo mwaka huu inaadhimishwa tarehe 8 mwezi Machi.
Wanawake katika sekta ya gemu za computer
katika kipindi cha Sema Uvume utasikia malalamiko ya wanawake katika sekta ya gemu. Wengi wanakosoa mwonekano wa kingono wa wahusika wanawake, katika gemu hizo, na nafasi ndogo isiyokuwa na umuhimu mkubwa wanayopewa, kwa vile gemu nyingi zinatengenezwa na wanaume. Je kuna wanawake wenye uwezo wa kiteknolojia wa kutengeneza gemu?
Miaka 100 ya wanawake kupiga kura Uingereza
Baada ya Uingereza kubadili sheria zake, nchi nyingi zilifuata na kuruhusu wanawake kupiga kura.
Ukeketaji utakwisha lini?
Tanzania ni moja ya nchi ambazo zimekuwa zikichukua hatua kutokomeza mila na utamaduni wa ukeketaji.
Biashara ya majeneza Tanzania
Nchini Tanzania biashara ya majeneza inashamiri na vijana ndio wanaoonekana kuitawala sekta hiyo. Wasemaje kuhusu shughuli hii na gharama za mazishi siku hizi kwa ujumla? Papo kwa Papo
Uwakilishi wa wanawake kiuongozi wapungua
Kulikoni wakati huu kunaibuka tena wasiwasi wa uwakilishi wa wanawake kwenye vyombo vya maamuzi? Hata baraza la mawaziri la rais mpya wa Liberia George Weah halina mwanamke hata mmoja. Mwanaharakati Edda Sanga aliyeko nchini Tanzania anatoa maoni yake.
Wanawake wa Saudi Arabia waruhusiwa kuingia uwanjani
Saudi Arabia yaruhusu wanawake kuingia kwenye uwanja kwa mara ya kwanza kutazama mechi ya soka.
Mtindo wa wasichana kubeba mikoba mikubwa
Lipi unalolijua au usilolijua kuhusiana na mtindo wa baadhi ya wasichana kubeba mikoba mikubwa mikubwa? Andamana na Jacob Safari katika makala ya Vijana Mchakamchaka akusimulie zaidi
Mchezo wa ndondi kwa wanawake Afrika
Mchezo wa ndondi si wa wanaume pekee. Wanawake pia wanacheza mchezo huo na hata kutia fora. Je mafanikio au changamoto zinazowakumba ni zipi? Fathiya Omar anasimulia zaidi kwenye makala ya Wanawake na Maendeleo
Kustaafu si mwisho wa maisha
Katika makala ya Wanawake na Maendeleo, Fathiya Omar anatazama wanawake wastaafu na maendeleo yao. Utaweza kuelewa mengi kuwahusu na mchango wao katika jamii, ikiwa ni pamoja na changamoto zao, kuonyesha kwamba kuna maisha baada ya kustaafu.
Wanawake wa elimu ya chini wajizatiti kimaendeleo Kenya
Katika makala ya Wanawake na Maendeleo tunaangazia wanawake walio na elimu ya chini huko Kenya, jinsi wanavyojizatiti kuhakikisha kwamba wanajikimu kimaisha. Fathiya Omar anasimulia katika makala ifuatayo ambapo pia anaangazia changamoto zao.
Sodo zinazotumika zaidi ya mara moja Uganda
Ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu elimu, Sayansi na Teknolojia UNESCO inakadiria kuwa mmoja kati ya wasichana kumi Kusini mwa jangwa la Sahara hukosa kuenda shule wanapopata hedhi kwa sababu ya kukosa sodo. Msanii wa Uganda Sadat Nduhira amekuwa akiwafundisha wasichana namna ya kujitengenezea sodo kwa njia rahisi.
Mzozo wa Katalonia na wimbi la mrengo wa kulia Magazetini
Mzozo wa Katalonia na wimbi la mrengo wa kulia Magazetini
Wanawake katika bunge la Ujerumani
Mwaka uliopita, jarida mashuhuri la uchumi la Marekani, Forbes, lilichapisha orodha ya wanawake wenye nguvu na ushawishi mkubwa duniani na aliyeshikilia nafasi ya kwanza alikuwa Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel. Merkel ataiongoza tena nchi yake katika muhula wa nne. Nini nafasi ya wanawake katika bunge jipya la Ujerumani lililochaguliwa Septemba mwaka huu?
Viongozi hawajui mambo yanayowakabili wasichana, wanawake.
Viongozi katika mataifa yanayoendelea hawajui maswala yanayowakabili wasichana na wanawake.
Hatimaye Saudi Arabia yawaruhusu wanawake kuendesha gari
Mnamo mwaka 2014, wanawake wawili wa Kisaudi walitiwa nguvuni kwa zaidi ya miezi miwili kwa kukiuka amri hiyo.
Wanawake nchini Jordan wapigania haki zao
Wanawake Jordan wanakamatwa wanapojaribu kutetea haki zao na haki za jamaa zao,kwasababu ya kulindwa heshima ya familia.
Uholanzi mabingwa wa Ulaya
Fainali ya kombe la ubingwa wa Ulaya kwa kandanda la Wanawake nchini Uholanzi ilikuwa ya kuvutia kabisa
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 13 wa 18
Ukurasa unaofuatia