MigogoroUlaya
Urusi yafanya mashambulizi makubwa katika mji wa Odessa
19 Februari 2025Matangazo
Meya wa mji huo wa bandari uliyopo kwenye Bahari Nyeusi Hennadiy Trukhanov, amesema mapema leo Jumatano kuwa hospitali, zahanati na maeneo mengine yenye miundombinu ya kijamii yameachwa bila nishati inayowezesha kupasha joto majumba hayo.
Soma pia:Urusi na Marekani zakubaliana kufanya mazungumzo bila ya Ukraine
Katika kipindi cha karibu miaka mitatu ya vita, Odesa imekuwa ikishambuliwa mara kwa mara na Urusi hasa miundombinu ya bandari zake tatu muhimu.