Urusi yachukuwa udhibiti wa vijiji vitatu zaidi vya Ukraine
13 Juni 2025Matangazo
Shirika la habari la serikali TASS, limenukuu wizara hiyo ikisema kuwa vikosi vya Urusi vimeteka vijiji sita vya Ukraine katika muda wa wiki moja iliyopita.
Hata hivyo Reuters haikuthibitisha kwa njia huru ripoti hizo