MigogoroUlaya
Urusi na Ukraine zashambuliana vikali na kusababisha vifo
3 Julai 2025Matangazo
Gavana wa eneo hilo Volodymyr Kohut amesema shambulio hilo limesababisha pia uharibifu kwenye miundombinu ya kijeshi na kiraia.
Aidha mashambulizi mengine ya Urusi yalipelekea watu wengine saba wakiwemo watoto wawili kujeruhiwa katika mkoa wa kusini mwa Ukraine wa Odessa.
Hayo yakiarifiwa, shambulio la droni la Ukraine limemuuwa bibi mmoja mwenye umri wa miaka 60 katika jimbo la Lipetsk karibu kilomita 400 kusini mashariki mwa mji mkuu Moscow.