Maendeleo ya teknolojia na upatikanaji rahisi wa vifaa vya kielektroniki umewapa sababu vijana ya kutumia spika za masikio kwa kiwango ambacho kinaleta hofu kwa wataalamu wa afya, baadhi ya vijana wanasema wanasikiliza kwa saa zaidi ya saba kwa siku huku sauti ikiwa juu.