Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema kwenye Mkutano wa Ngazi ya Juu wa Kimataifa kuhusu Usuluhishi wa Amani wa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu ya Nchi Mbili za Israel na Palestina kwamba "Suluhu pekee ya kweli ya haki na endelevu katika mzozo wa Gaza ni mataifa mawili, Israel na Palestina.