You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Ukraine
Ukraine ndiyo nchi kubwa kabisa barani Ulaya. Ina wakaazi wapatao 43,000,000.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Ukraine yaashiria utayari wa kuzungumza na Urusi kuhusu vita
Kuleba amesisitiza kuwa serikali ya Kyiv iko tayari kukaa katika meza ya mazungumzo na Urusi wakati itakapokuwa tayari.
China yajadili mipango ya amani na Ukraine
Ziara hiyo ya Dymitro Kuleba inafuatia shutuma kuelekea China kutoka kwa Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy mwezi Juni.
Kuleba ziarani Beijing kutafuta amani nchini Ukraine
Ziara ya Kuleba China ni ya kwanza kufanywa na afisa wa ngazi ya juu wa Ukraine tangu Urusi ilipoivamia Ukraine 2022.
Kuleba yupo Beijing kwa mazungumzo ya kumaliza vita
Ziara ya Kuleba ya hadi Ijumaa ni ya kwanza tangu vita kuanza Februari 2022.
Kuleba kuelekea China kusaka suluhu ya mzozo wa Ukraine
Waziri wa mambo ya nje wa Ukraine Dmytro Kuleba anajiandaa kuanza ziara Beijing kesho Jumanne.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine kuzuru China
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky,asema Marekani na China zinaweza kuvimaliza vita kati ya nchi yake na Urusi.
Viongozi wa dunia wamimina sifa kwa Rais Joe Biden
China na Urusi zasema kujiondoa kwa Joe Biden kwenye kinyang'anyiro cha urais wa Marekani kumesababisha sintofahamu.
Mawaziri wa EU kukutana na kuijadili Ukraine na Gaza
Mawaziri wa mambo ya nje wa mataifa wanachama wa Umoja wa Ulaya wakutana mjini Brussels
Urusi yadai kuvikamata vijiji viwili mashariki mwa Ukraine
Urusi imesema kwamba vikosi vyake vimevikamata vijiji viwili kwenye mstari wa mbele wa vita.
Urusi yadai kuzuia ndege za kivita za Marekani
Urusi imedai kwamba ilituma ndege zake za kivita za kwenda kuzizuia ndege mbili za kijeshi za Marekani.
Urusi yashambulia miundombinu ya nishati Ukraine
Jeshi limeongeza kusema kuwa hakuna taarifa za watu waliouawa au waliojeruhiwa.
Zelensky asema atapinga mipango yote isiyoihusisha Ukraine
Urusi na Ukraine zimekuwa zikikosoa mipango yoyote ya amani inayofanyika bila ya kuhusisha moja ya pande hizo.
Starmer aahidi kufufua uhusiano na Ulaya
Starmer amewaambia zaidi ya viongozi 45 wa Ulaya kwamba Uingereza itakuwa "rafiki na mshirika wao wa karibu.”
Von der Leyen kuongoza tena Halmashauri ya Ulaya
Chama cha mrengo mkali wa kulia cha Ndugu wa Italia cha Waziri Mkuu wa Italia Giorgia kilimpinga von der Leyen.
Urusi na Ukraine wabadilishana tena wafungwa
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema wataendelea kuwarudisha raia wake nyumbani
Urusi: Ukraine kujiunga na NATO ni tangazo rasmi la vita
Rais wa zamani wa Urusi Dmitrz Medvedev amesema kujiunga kwa Ukraine NATO itakuwa ni tangazo la vita dhidi ya Moscow.
Tume ya Ulaya kuususia kwa kiasi Urais wa EU wa Hungary
Hungary ndiyo inashikilia urais wa kupokezana wa Umoja wa Ulaya kwa kipindi cha miezi sita.
Zelensky asema ataandaa mkutano mwingine wa kusaka amani
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema anaweka malengo ya kuandaa mkutano mwingine wa kusaka amani.
China na Urusi zafanya mazoezi ya kijeshi ya pamoja
China na Urusi zafanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi
Urusi yatishia kuishambulia Ulaya
Urusi imesema, kama Marekani itapeleka makombora ya masafa marefu Ujerumani, huenda ikaishambulia miji mikuu ya Ulaya
Shambulio la droni lazua moto kwenye ghala la mafuta Urusi
Gavana wa mkoa wa Donieski amesema shambulizi la Urusi limesababisha vifo vya watu sita na kuwajeruhi wengine 22
Zelensky akutana na waziri mkuu wa Ireland
Harris amemueleza Zelensky kuwa Ireland inaiunga mkono kikamilifu juhudi zake za kutaka kujiunga na EU
Zelensky kukutana na Waziri Mkuu wa Ireland
Ireland itaonyesha ushirikiano wake kwa Ukraine katika juhudi zake kutaka kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya.
13.07.2024: Taarifa ya Habari ya Asubuhi
Miongoni mwa yale utakayoyasikia kwenye habari asubuhi ya leo ni Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Ireland. Marekani na Urusi waangazia kupunguza kuongezeka kwa mzozo na Karibu watu 22 wafa baada ya jengo la shule kuanguka nchini Nigeria.
Rais Zelensky kuzungumza na Waziri mkuu wa Ireland
Ireland inalenga kuongeza msaada na hasa kwa watoto wa Ukraine walipelekwa kinguvu nchini Urusi na Belarus.
Marekani, Urusi wajadili kupunguza hatari za kusambaa mzozo
Urusi iliivamia Ukraine mapema mwaka 2022 na mataifa ya magharibi yamekuwa yakiisaidia Ukraine katika vita hivyo.
Korea Kaskazini yakosoa tamko la mkutano wa kilele wa NATO
Jumuiya ya NATO na mataifa ya magharibi yamekuwa yakiikosoa Korea Kaskazini kwa kuiunga mkono Urusi na kuisaidia kijeshi
Ujerumani yalia na njama ya kumuua mkuu wa kampuni ya silaha
Ikulu ya Kremlin imepuuza taarifa hizo na kuziita habari za upotoshaji zisizopaswa kuchukuliwa kwa uzito wowote.
Washirika wa NATO waahidi kuipa Ukraine msaada zaidi
Rais Joe Biden alitangaza msaada huo wa fedha baada ya kukutana na Rais Volodymyr Zelensky mjini Washington.
Washirika wa NATO waahidi mshikamano zaidi na Ukraine
Washirika wa Jumuiya ya NATO wameendelea kuahidi kuiunga mkono Ukraine inayopambana na uvamizi wa Urusi.
Urusi: Kupeleka silaha Ujerumani kutachochea Vita Baridi
Mataifa hayo yalitangaza makubaliano ya Marekani kuanza kupeleka silaha nzito Ujerumani kukabiliana na vitisho.
Joe Biden "Ninataka kumalizia kazi niliyoianza."
Rais Biden amekabiliwa na miito ya kujitoa kuwania tena urais baada ya kuonyesha udhaifu kwenye mdahalo na Donald Trump.
Asia Pasifiki na NATO wajiimarisha kupambana na vitisho
Mataifa manne ya Asia Pasifiki ambayo si wanachama wa NATO wamehudhuria mkutano huo wa NATO kwa mara ya tatu mfululizo.
NATO yalenga kukabiliana na ushawishi wa China
China: NATO iachane na propaganda ya kile wanachokiita "Kitisho cha China", hilo linazusha tu makabiliano na ushindani.
Viongozi wa NATO wahitimisha mkutano wao wa kilele
NATO walitangaza msaada zaidi wa kijeshi ili kuunga mkono juhudi za Ukraine za kukabiliana na uvamizi wa Urusi.
Mtu mmoja auawa katika shambulizi la Ukraine huko Belgorod
Mtu mmoja ameuawa na wengine watatu wamejeruhiwa katika shambulizi la droni la Ukraine.
Marekani kutuma silaha Ujerumani kukabili kitisho cha Urusi
Wakuu wa ushirika wa NATO wamekubaliana kuiongezea Ukraine msaada wa kijeshi wa karibu dola bilioni 40 mwaka ujao, 2025.
Stoltenberg asema anataraji msaada wa kutosha kwa Ukraine
Stoltenberg asema anataraji msaada wa kutosha kwa Ukraine kutoka NATO
Modi ajadili vita vya Ukraine na Kansela wa Austria
Waziri Mkuu wa India Narendra Modi anayeitembelea Austria amekutana na mwenyeji wake Kansela Karl Nehammer.
Urusi yadai imedhibiti jaribio la kushambuliwa manuari yake
Urusi yadai imedhibiti jaribio la kushambuliwa manuari yake
Viongozi wa NATO kutangaza msaada kwa Ukraine
Rais wa Marekani Joe Biden na viongozi wengine wa NATO wanajiandaa kutangaza msaada mpya kwa Ukraine.
Viongozi wa mataifa ya NATO wakutana Washington, Marekani
Jumuiya ya NATO yaadhimisha miaka 75 tangu kuanzishwa kwake.
Urusi yashutumiwa kashambulia hospitali Ukraine
Urusi yashtumiwa katika Baraza la Usalama la UN kwa mashambulizi dhidi ya hospitali Ukraine
Viongozi wa NATO wakutana Washington chini ya wingu la vita
Viongozi wa jumuiya ya NATO wanaanza mkutano wao wa kilele leo Jumanne,Washington Marekani
Modi aikosoa Urusi kwa kushambulia hospitali ya watoto Kiev
Kauli ya kiongozi huyo aliyeko ziarani Moscow imekuja siku moja baada ya kushambuliwa kwa hospitali kuu ya watoto.
Vikosi vya Urusi vimelikamata eneo la makaazi Donetsk
Takriban watu 200 wengine walijeruhiwa katika mashambulizi yaliyofanywa dhidi ya miji kadhaa ya Ukraine.
Modi amuhimiza Putin kutafuta amani kwa njia ya mazungumzo
Waziri Mkuu wa India Narendra Modi anazuru Urusi kwa mara ya kwanza tangu ilipoivamia Ukraine, Februari 2022.
Je, Orban atafanikisha lengo la kutatua mzozo wa Ukraine?
Hungary imechukua uenyekiti wa baraza la EU, swali muhimu ni Je, kipi atafanikisha katika mzozo wa Ukraine?
Urusi yashambulia droni za Ukraine kwenye maeneo ya mipaka
Urusi yaziharibu droni 38 za Ukraine katika maeneo kadhaa ya mpaka na nchi hiyo.
Viongozi wa NATO kujadili msaada zaidi kwa Ukraine
Viongozi wa jumuiya ya NATO wanaanza mkutano wao wa kilele leo Jumanne,Washington Marekani.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 27 wa 85
Ukurasa unaofuatia