You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Ukraine
Ukraine ndiyo nchi kubwa kabisa barani Ulaya. Ina wakaazi wapatao 43,000,000.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Ukraine yapiga marufuku mtandao wa mawasiliano wa Telegram
Mtandao wa Telegram unatumika sana nchini Ukraine na Urusi na umekuwa chanzo muhimu cha kupata habari.
Umoja wa Ulaya waipatia Ukraine mkopo wa mabilioni
Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen ametangaza mpango wa kuipatia Ukraine mkopo wa mabilioni.
Mawaziri wa nishati wa G7 kujadili miundombinu ya Ukraine
Mawaziri wa nishati wa nchi za G7 watakutana Jumatatu kujadili miundombinu ya nishati ya umeme ya Ukraine.
Von der Leyen aizuru Ukraine kujadili usalama wa nishati
Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen ameitembelea Ukraine kujadili usalama wa nishati.
Urusi yaionya Magharibi kuhusu silaha za Ukraine
Urusi imezitaka nchi za Magharibi kuacha kuipatia Ukraine silaha na kufadhili kile ilichokiita "shughuli za kigaidi".
Zelenskiy: Tumepunguza uwezo wa wanajeshi wa Urusi Donetsk
Hatua ya kuwakamata wanajeshi wa Urusi kumeipa Ukraine sauti linapokuja suala la kubadilishana wafungwa wa vita.
Von der Leyen kufanya ziara mjini Kiev siku ya Ijumaa
Von der Leyen kufanya ziara mjini Kiev siku ya Ijumaa
Urusi yavikomboa vijiji viwili magharibi mwa Kursk
Huenda operesheni ya Urusi dhidi ya gridi ya nishati ya Ukraine inakiuka sheria ya kimataifa ya haki za binadamu.
Zelensky adai kuwa serikali yake imejiandaa kuishinda Urusi
Zelensky adai kuwa serikali yake imejiandaa kikamilifu kuishinda Urusi
Viongozi 130 wa dunia kujadili Gaza, Ukraine na Sudan
Viongozi 130 wa dunia kujadili migogoro ya Gaza, Ukraine na Sudan
Mifumo ya ulinzi ya Urusi yadungua droni 54 za Ukraine
Jeshi la anga la Urusi limetangaza kuharibu droni 54 zinazodaiwa kurushwa na Ukraine usiku kucha .
Ujerumani yaahidi msaada zaidi kwa Ukraine
Ujerumani imeahidi msaada zaidi wa euro milioni 100 kwa ajili ya Ukraine wakati wa msimu wa baridi.
Rais Putin ameongeza ukubwa wa jeshi lake
Mwezi Disemba, Putin aliongeza ukubwa wa jeshi lake na kufikia milioni 2.2, huku wanajeshi wakiwa milioni 1.33.
Viongozi ulimwenguni walaani shambulio dhidi ya Trump
Wakati salamu za pole zikitolewa, Rais Joe Biden amesema idara ya usalama nchini humo inahitaji msaada zaidi.
Urusi yatoa wito kwa UN na ICRC kukataa mwaliko wa Ukraine
Urusi inawahamisha wakazi kutoka vijiji vingi katika eneo la Kursk ambao wako karibu na mpaka wa Ukraine.
Rais Zelensky asema jeshi lake limepungukiwa silaha
Ukraine inapambana vikali na Urusi na sasa inawaomba washirika wake wa magharibi kuiongezea silaha.
Ujerumani hatopeleka makombora ya masafa marefu Ukraine
Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz amesema nchi yake haitapeleka makombora ya masafa marefu ya Taurus nchini Ukraine.
Urusi na Ukraine zashambuliana kwa droni usiku kucha
Urusi na Ukraine zimeendelea kushambuliana kwa ndege zisizo na rubani, usiku wa kuamkia Jumapili.
Ukraine na Urusi zabadilishana wafungwa wa kivita
Rais wa Ukraine Volodymr Zelenskyy amesema mabadilishano mengine yatafanyika ndani ya siku mbili zijazo.
Biden na Starmer wakutana Washington kuijadili Ukraine
Urusi imeonya kuwa kuiruhusu Ukraine kutumia silaha za masafa marefu kutaitumbukiza NATO katika vita na Urusi.
Stoltenberg asema NATO ingeweza kuisaidia zaidi Ukraine
Ikiwa Ukraine itashinda vita hivyo basi hatua hiyo itakuwa mafanikio katika meza ya mazungumzo na Urusi.
Biden, Starmer waahirisha uamuzi wa makombora ya Ukraine
Starmer amesema alikuwa na mjadala mpana kuhusu mkakati na Biden lakini hakukuwa na mkutano kuhusu makombora.
Zelensky: Nitamkabidhi Biden "mpango wa ushindi" mwezi huu
Zelensky asema atamkabidhi Biden "mpango wa ushindi" mwezi huu
Biden, Starmer kujadili silaha za masafa marefu kwa Ukraine
Waziri Mkuu Starmer anakwenda Washington kukutana na Rais Joe Biden ambapo watajadili ombi la Ukraine kuhusu silaha.
Urusi yaishambulia Ukraine kwa droni usiku kucha
Wizara ya mambo ya nje ya Romania shambulio la Urusi dhidi ya meli ya nafaka ya Ukraine limechochea zaidi vita.
Urusi yaonya NATO kujiingiza kwenye vita vyake na Ukraine
Marekani imeiruhusu Kyiv kutumia silaha zake kushambulia ndani ya Urusi
Je, NATO inapaswa kudungua droni za Urusi?
Lakini NATO inalipinga pendekezo hilo, ikisema kuwa linaiweka kwenye hatari ya muungano huo kuwa sehemu ya mzozo huo.
Biden, Starmer kujadili silaha za masafa marefu kwa Ukraine
Starmer amesema mazungumzo hayo yatakuwa katika ngazi ya kimkakati kuhusu mzozo wa Ukraine na wa Mashariki ya Kati.
Blinken: Tutaendelea kuikabili Urusi inapoishambulia Ukraine
Poland imesisitiza ulazima wa kuzingatia mipaka ya kuiadhibu Iran inayodaiwa kupeleka makombora ya masafa mafupi Urusi.
Urusi yaishambulia meli ya ngano kwenye Bahari nyeusi
Urusi yaishambulia meli ya ngano na kuwauwa watu 3 Bahari nyeusi
Blinken afanya mazungumzo na viongozi wa Poland
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken amefanya mazungumzo na viongozi wa Poland.
Marekani na Uingereza zaipa Ukraine msaada wa $ bil. 1.5
Uingereza na Marekani zimeahidi kuipa Ukraine nyongeza ya msaada wa karibu dola bilioni 1.5 za Kimarekani.
Urusi yashambulia kwa droni kaskazini mwa Ukraine
Urusi imesabisha hasara kubwa kwenye miundo mbinu ya umeme katika mji wa Konotop kaskazini mwa Ukraine.
Marekani, UK zaahidi jibu la haraka kwa maombi ya Ukraine
Marekani na Uingereza zimeahidi Jumatano, kupitia haraka maombi ya Ukraine kulegeza vizuwizi juu ya matumizi ya silaha.
US, UK kutafakari ombi la Kyiv kulegeza vikwazo vya silaha
Marekani na Uingereza zimeahidi msaada wa dola bilioni 1.5 kwa Ukraine wakati wa ziara ya mawairi wa mambo ya nje Kyiv.
Mawaziri Blinken na Lammy waapa kuisaidia zaidi Ukraine
Mawaziri hao wa mambo ya kigeni wa Uingereza na Marekani wametoa ahadi hiyo mjini Kiev walikowasili siku ya Jumatano.
Iran yaapa kuchukua hatua kujibu vikwazo vipya
Marekani na mataifa yenye nguvu ya Magharibi, yametangaza vikwazo vipya kwa Iran kwa sababu ya kuipa Urusi makombora.
Mawaziri wa kigeni wa Marekani na Uingereza ziarani Kiev
Haya yanajiri wakati Kiev ikizishinikiza nchi washirika kuiruhusu kutumia makombora ya masafa marefu kuishambulia Urusi.
Scholz arejelea wito wa mkutano wa amani kuhusu Ukraine
Akizungumza bungeni mjini Berlin kiongozi huyo wa Ujerumani amesema huu ndio wakati wa kutumia fursa zilizobakia.
Trump, Harris wapambana kwenye mdahalo
Wagombea wa kiti cha urais wa Marekani, Kamala Harris na Donald Trump wamepambana kwenye mdahalo wa televisheni.
Iran yawekewa vikwazo madai ya upelekaji makombora Urusi
Mataifa ya magahribi yametangaza vikwazo dhidi ya Iran wanayoituhumu kuipatia Urusi makombora ya masafa marefu.
Urusi yadai kusonga mbele kilometa 1,000 ndani ya Ukraine
Urusi imesema vikosi vyake vimesonga mbele kwa kilometa 1,000 za mraba mashariki mwa Ukraine ndani ya miezi miwili.
BRICS yaanda mkutano kujadili kadhia ya vita nchini Ukraine
Mkutano huo wa siku mbili unafanyika mjini St.Petersburg nchini Urusi kuanzia leo hadi Septemba 12.
Blinken: Urusi ilipokea makombora kutoka Iran
Washington ilionya Iran kuipatia Urusi makombora ya masafa marefu kunaweza kuzidisha mvutano na vikwazo vipya.
Ukraine yailenga Urusi kwa zaidi ya droni 140
Vita vimeendelea kushika kasi kati ya Urusi na Ukraine, huku Ukraie ikiwashinikiza washirika wake kumuongezea silaha.
Blinken na Starmer kujadili namna ya kuisaidia Ukraine
Marekani na washirika wengine wa magharibi wanaangazia namna ya kuendelea kuisaidia Ukraine.
Blinken ziarani Uingereza kujadili mizozo ya Ukraine na Gaza
Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Marekani Antony Blinken anafanya ziara nchini Uingereza.
EU, Marekani: Tutajibu ikiwa Iran inapeleka makombora Urusi
Umoja wa Ulaya umesema umepokea taarifa za kuaminika zinazoonesha kwamba Iran imeipatia Urusi makombora ya masafa.
MOSCOW: Scholz yupo sahihi kutaka uchunguzi wa Nord Stream
Waendesha mashtaka wa Ujerumani walitoa hati ya kukamatwa mkufunzi wa mbizi wa Ukraine kuhusiana na mashambulizi hayo.
Kansela Scholz atoa wito wa juhudi mpya za amani, Ukraine
Urusi na Ukraine hazijaweza kufanikisha mazungumzo ya amani tangu Urusi ilipoivamia rasmi Ukraine mwaka 2022
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 23 wa 85
Ukurasa unaofuatia